Herby Chicken Stew with Tomatoes & Mushrooms Recipe

Herby Chicken Stew with Tomatoes & Mushrooms Recipe

rafiki uzuri wa Dar ni maghorofa tu............asikwambie mtu.
ila huku nilipo kiboko, ni pasafi hadi unashindwa kuelewa hivi wananchi wa huku wao mifuko ya nailoni hawaion ama?? ama vocha za simu wao hawatumiii?? hukutan na karatasi wala hata ya vocha njian, kila kona maji yanatiririka masafi kama vile watu hawajui kuharibu vyanzo vya maji.............ni kusafi hewa safi, hakuna mwenye ujuaji kama Dar.
ngoja kwanza nisikusimulie yote hapa nikachakachua uzi wako.
BTW nitapika huu msosi nile kwenye hali hii nzuri nita enjoy sana
gfsonwin ni wapi huko unapasifia hivyo? Nitumie ramani nikufuate rafiki.
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin ni wapi huko unapasifia hivyo? Nitumie ramani nikufuate rafiki.

hahahahahh! halafu ujue nimekumiss sana wangu??
yani nimejikuta nakumbuka pilau la mapilau halafu lipate huyu kuku acha kabisa.......ila nimekula kwa ugali wa dona wangu umenoga sana tu.
 
hahahahahh! halafu ujue nimekumiss sana wangu??
yani nimejikuta nakumbuka pilau la mapilau halafu lipate huyu kuku acha kabisa.......ila nimekula kwa ugali wa dona wangu umenoga sana tu.
Unatutamanisha tu wenzio huo msosi wako! Nimekumiss pia best. Nitawatafuta hali ikiruhusu maana mkoloni kashika hatamu ni kazi kwa kwenda mbele.
 
Back
Top Bottom