Herby Chicken Stew with Tomatoes & Mushrooms Recipe

gfsonwin ni wapi huko unapasifia hivyo? Nitumie ramani nikufuate rafiki.
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin ni wapi huko unapasifia hivyo? Nitumie ramani nikufuate rafiki.

hahahahahh! halafu ujue nimekumiss sana wangu??
yani nimejikuta nakumbuka pilau la mapilau halafu lipate huyu kuku acha kabisa.......ila nimekula kwa ugali wa dona wangu umenoga sana tu.
 
hahahahahh! halafu ujue nimekumiss sana wangu??
yani nimejikuta nakumbuka pilau la mapilau halafu lipate huyu kuku acha kabisa.......ila nimekula kwa ugali wa dona wangu umenoga sana tu.
Unatutamanisha tu wenzio huo msosi wako! Nimekumiss pia best. Nitawatafuta hali ikiruhusu maana mkoloni kashika hatamu ni kazi kwa kwenda mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…