Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naweka kwani ni siriweka clip
naisubirinaweka kwani ni siri
Da. Kweli madaraka ni kitu cha ajabu. Mwezi wa pili mwaka huu watu kama hawa walikuwa wanaonekana kama miungu watu. Walikuwa ''wanaabudiwa'' na walamba viatu kila wanakokwenda. Kila nikifikiria watu waliopita kwenye situation kama hizi eg Ridhiwani, Makonda na huyu huwa nasema madaraka yanafanya mtu aone kama hatakufa.naweka kwani ni siri
... intarahamwe walikuwa wamekamata nchi. Mungu wetu ni Mkuu sana.
Nimeweka...weka clip
Pascal Mayalla kuna mtu anasema you snitched KabenderaNashauri na Pasco mayalla akamatwe kwa kumsinitch kabendera
Mkuu unataka kunichonganisha na Pasco aliyepata kura 1Pascal Mayalla kuna mtu anasema you snitched Kabendera
Au nawewe ulishiriki?naisubiri
Hapana, angalau tuna nafasi ya kusema ukweliMkuu unataka kunichonganisha na Pasco aliyepata kura 1
bahati mbaya humu hatujuani vinginevyo tungeliwagunduaAu nawewe ulishiriki?