Heri Mama ameamua kukaa kimya, makubwa lazima yatakuja!

Heri Mama ameamua kukaa kimya, makubwa lazima yatakuja!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Hili suala la Bandari na DP World halikosi ukoko.

Mama amesema wazi wazi kwamba atatumia hekima kukaa kimya, jambo ambalo ni heri maana mambo kutatua figisu (kama alivyosema mama Mongella) hayataki papara!

Lakini vichwa havikawii kufikiria mambo magumu. Inadaiwa ndege yetu imekamatwa huo Uarabuni.

Minong'ono ya fedha kutembea toka huko uarabuni ipo.

Kina Kitenge wa advance party wamezawadiwa fweza za kufa mtu, na kama alivyo mswahili haachi kujionesha hadharani kuwa kapata fweza ndefu.

Kwa kubwabwaja redioni tu, hiyo fweza nii ndefu sana kujinunulia brand new Prado.

Wafaidika ni wengi, wengine tetesi zinasema wengine wamenunua nyumba Dubai. Hapa ndio linapoingia suala la RUSHWA!
Vyombo vyetu viko kimya kama maji ya mtungi.

Najaribu kulidadavua suala lenyewe jinsi lilivyo, kichwa kinagoma.

Heri kukaa kimya tu.
 
Ningepata nafasi ya kukutana naye ningemshauri ahutubie Taifa moja Kwa moja na sio kupitia wazee sana sana labda wawepo waandishi.
 
Kabisa RRrR ya mama Samia ina makubwa sna kuliko upeo wetu.

Mimi naamini baada ya 2025 Tanzania hatutaki support ya bajeti yetu kutoka kwa yeyote. Niliandika hivi:

 
Ndege yetu imekamatwa huo Uarabuni.
Minong'ono ya fedha kutembea toka huko uarabuni ipo.
Kina Kitenge , wa advance party,wamezawadiwa fweza za kufa mtu,
Haya maneno jamani ni ya kweli?

Halafu serikali hii ni ya ajabu. Kuhusiana na swala hili la bandari/Dpw, hawa kina kitenge na wasanii wengine, na wabunge 40, ambao wote sio wataalamu wa masuala ya bandari na kwa namna yoyote hawahusiki na uendeshaji wake walipelekwa Dubai kufanya nini? Kwa gharama za nani? I smell something fishy here. Hoja wote wanaopinga mkataba zijibiwe kwa ufasaha.
 
Kabisa RRrR ya mama Samia ina makubwa sna kuliko upeo wetu.

Mimi naamini baada ya 2025 Tanzania hatutaki support ya bajeti yetu kutoka kwa yeyote. Niliandika hivi:

Mgonjwa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa RRrR ya mama Samia ina makubwa sna kuliko upeo wetu.

Mimi naamini baada ya 2025 Tanzania hatutaki support ya bajeti yetu kutoka kwa yeyote. Niliandika hivi:

Nimekufuata na huku.

R-RUSHWA
R-RUSHWA
R-RUSHWA
R-RUSHWA
 
Hili suala la Bandari na DP World halikosi ukoko.

Mama amesema wazi wazi kwamba atatumia hekima kukaa kimya, jambo ambalo ni heri maana mambo kutatua figisu (kama alivyosema mama Mongella) hayataki papara!

Lakini vichwa havikawii kufikiria mambo magumu. Inadaiwa ndege yetu imekamatwa huo Uarabuni.

Minong'ono ya fedha kutembea toka huko uarabuni ipo.

Kina Kitenge wa advance party wamezawadiwa fweza za kufa mtu, na kama alivyo mswahili haachi kujionesha hadharani kuwa kapata fweza ndefu.

Kwa kubwabwaja redioni tu, hiyo fweza nii ndefu sana kujinunulia brand new Prado.

Wafaidika ni wengi, wengine tetesi zinasema wengine wamenunua nyumba Dubai. Hapa ndio linapoingia suala la RUSHWA!
Vyombo vyetu viko kimya kama maji ya mtungi.

Najaribu kulidadavua suala lenyewe jinsi lilivyo, kichwa kinagoma.

Heri kukaa kimya tu.
Hana uwezo wa kusoma,kuchambua,kujibu au kuelewa jambo lolote kwenye huo mkataba
 
I
Hili suala la Bandari na DP World halikosi ukoko.

Mama amesema wazi wazi kwamba atatumia hekima kukaa kimya, jambo ambalo ni heri maana mambo kutatua figisu (kama alivyosema mama Mongella) hayataki papara!

Lakini vichwa havikawii kufikiria mambo magumu. Inadaiwa ndege yetu imekamatwa huo Uarabuni.

Minong'ono ya fedha kutembea toka huko uarabuni ipo.

Kina Kitenge wa advance party wamezawadiwa fweza za kufa mtu, na kama alivyo mswahili haachi kujionesha hadharani kuwa kapata fweza ndefu.

Kwa kubwabwaja redioni tu, hiyo fweza nii ndefu sana kujinunulia brand new Prado.

Wafaidika ni wengi, wengine tetesi zinasema wengine wamenunua nyumba Dubai. Hapa ndio linapoingia suala la RUSHWA!
Vyombo vyetu viko kimya kama maji ya mtungi.

Najaribu kulidadavua suala lenyewe jinsi lilivyo, kichwa kinagoma.

Heri kukaa kimya tu.
lla umefupisha Muno ,twenye vichwa vya panzi umetuacha mbaaali🏃🏃
 
Hana uwezo wa kusoma,kuchambua,kujibu au kuelewa jambo lolote kwenye huo mkataba
Kuna wengi hawana uwezo wa kujua kama unaibiwa, hilo ni tatizo lao.
Kina Profesa wasomi wajinga wajinga kama Maruma wako wengi.
 
Ha haa.
Am seated at the front row, watching Samia shows... 😆😆😆
images (1).jpeg
 
Isije ukatoka waraka mzito zaidi ya wa Wakatoliki
 
Hili suala la Bandari na DP World halikosi ukoko.

Mama amesema wazi wazi kwamba atatumia hekima kukaa kimya, jambo ambalo ni heri maana mambo kutatua figisu (kama alivyosema mama Mongella) hayataki papara!

Lakini vichwa havikawii kufikiria mambo magumu. Inadaiwa ndege yetu imekamatwa huo Uarabuni.

Minong'ono ya fedha kutembea toka huko uarabuni ipo.

Kina Kitenge wa advance party wamezawadiwa fweza za kufa mtu, na kama alivyo mswahili haachi kujionesha hadharani kuwa kapata fweza ndefu.

Kwa kubwabwaja redioni tu, hiyo fweza nii ndefu sana kujinunulia brand new Prado.

Wafaidika ni wengi, wengine tetesi zinasema wengine wamenunua nyumba Dubai. Hapa ndio linapoingia suala la RUSHWA!
Vyombo vyetu viko kimya kama maji ya mtungi.

Najaribu kulidadavua suala lenyewe jinsi lilivyo, kichwa kinagoma.

Heri kukaa kimya tu.
Ni bora uendelee hivo hivo kukaa kimya maana huna ushahidi wa hayo madai yako
 
Haya maneno jamani ni ya kweli?

Halafu serikali hii ni ya ajabu. Kuhusiana na swala hili la bandari/Dpw, hawa kina kitenge na wasanii wengine, na wabunge 40, ambao wote sio wataalamu wa masuala ya bandari na kwa namna yoyote hawahusiki na uendeshaji wake walipelekwa Dubai kufanya nini? Kwa gharama za nani? I smell something fishy here. Hoja wote wanaopinga mkataba zijibiwe kwa ufasaha.
Hizo bado ni dhana tu huna ushahidi
 
Back
Top Bottom