bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Hiyo kazi ya kuisoma hiyo Mikataba na kuichambua ni kazi ya ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikaliHana uwezo wa kusoma,kuchambua,kujibu au kuelewa jambo lolote kwenye huo mkataba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo kazi ya kuisoma hiyo Mikataba na kuichambua ni kazi ya ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikaliHana uwezo wa kusoma,kuchambua,kujibu au kuelewa jambo lolote kwenye huo mkataba
Haiwezi kuwa rahisi hivyoKabisa RRrR ya mama Samia ina makubwa sna kuliko upeo wetu.
Mimi naamini baada ya 2025 Tanzania hatutaki support ya bajeti yetu kutoka kwa yeyote. Niliandika hivi:
RRRR ya Rais Samia Watanzania wengi wanaoishi kimazoea hawatoielewa haraka
RRRR za falsafa ya mama Samia ina manufaa makubwa sana, tena sana kwa kila Mtanzania na kwa Tanzania kwa ujumla. R hizi 4 za mama Samia zina fursa kubwa sana ndani yake, kwetu sote. Nawaasa Watanzania tusikurupuke na tusibaki kutawaliwa kimazowea na wala tusiwe na fikra za mama Samia kuwa...www.jamiiforums.com
Halafu yeye kazi yake ni nini? Magufuli alichambuliwa na nani ambaye siku hizi hawezi?Hiyo kazi ya kuisoma hiyo Mikataba na kuichambua ni kazi ya ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali
Uzi ukijaa kauli za inasemekana, inadaiwa ni umbea na uongo mtupu.Hili suala la Bandari na DP World halikosi ukoko.
Mama amesema wazi wazi kwamba atatumia hekima kukaa kimya, jambo ambalo ni heri maana mambo kutatua figisu (kama alivyosema mama Mongella) hayataki papara!
Lakini vichwa havikawii kufikiria mambo magumu. Inadaiwa ndege yetu imekamatwa huo Uarabuni.
Minong'ono ya fedha kutembea toka huko uarabuni ipo.
Kina Kitenge wa advance party wamezawadiwa fweza za kufa mtu, na kama alivyo mswahili haachi kujionesha hadharani kuwa kapata fweza ndefu.
Kwa kubwabwaja redioni tu, hiyo fweza nii ndefu sana kujinunulia brand new Prado.
Wafaidika ni wengi, wengine tetesi zinasema wengine wamenunua nyumba Dubai. Hapa ndio linapoingia suala la RUSHWA!
Vyombo vyetu viko kimya kama maji ya mtungi.
Najaribu kulidadavua suala lenyewe jinsi lilivyo, kichwa kinagoma.
Heri kukaa kimya tu.
Leo katua nayo South Afrika. Hawa wajinga wanaendeleza tu uzushi na uzandiki wao. Tatizo wameona siku hizi humu wamejaa mapopoma ndo mana wanaokota tu.Uzi ukijaa kauli za inasemekana, inadaiwa ni umbea na uongo mtupu.
Ndege ya rais ilimpeleka makamu kule Angola ndani ya siku zile ulipoibuka uzushi kwamba imekamatwa Dubai.
Inavyosemekana Mwanasheria Mkuu wala hakuisoma au kushirikishwa katika huo mkataba.Hiyo kazi ya kuisoma hiyo Mikataba na kuichambua ni kazi ya ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali
Kwamba Hizo RRRR zinaonyesha upeo mkubwa, hakuna upeo huo bali utapeli wa mchana kweupe.Kabisa RRrR ya mama Samia ina makubwa sna kuliko upeo wetu.
Mimi naamini baada ya 2025 Tanzania hatutaki support ya bajeti yetu kutoka kwa yeyote. Niliandika hivi:
RRRR ya Rais Samia Watanzania wengi wanaoishi kimazoea hawatoielewa haraka
RRRR za falsafa ya mama Samia ina manufaa makubwa sana, tena sana kwa kila Mtanzania na kwa Tanzania kwa ujumla. R hizi 4 za mama Samia zina fursa kubwa sana ndani yake, kwetu sote. Nawaasa Watanzania tusikurupuke na tusibaki kutawaliwa kimazowea na wala tusiwe na fikra za mama Samia kuwa...www.jamiiforums.com
Soma mazingira yenyewe.Hizo bado ni dhana tu huna ushahidi
Soma mada vizuri, uielewe na ujue maudhui yake.Katiba inamtaka aongee ahutubie Taifa hasa panapotokea sintofahamu za namna hii.
Wala sio kusema kheri wala nini.
Actually modern management inasisitiza kusema na sio kupongezana kukaa kimya.
Mleta mada jitafakali kiwango chako cha ufahamu juu ya mambo.