Si umeona mpaka sasa anaishiKwa nini tena mkuu?
Wakuu leo Mei 8, ni siku aliyozaliwa Rais wa Awamu ya Pili Mh. Ali Hassan Mwinyi. Mh. Mwinyi alizaliwa Mei 8, 1925, hivyo leo ametimiza miaka 98.
Tunamtakiwa Mzee Mwinyi heri na baraka kwa siku yake ya kuzaliwa.
View attachment 2614183
Kama?Rais Mwinyi: Kazi tulizoshindwa kuzifanya sisi kwa miaka 30 Magufuli kazifanya kwa miaka 3
Shujaa πππ