Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha utaharibu shughuli wewe, sie mbona warefu sasaAaaah wapi, sema najivunia tu kuwa na wadada kama nyie!! aki na ukwa, teh teh
Teh mkweo muda wote anataka hip hop tu, na zile lugha zao me sina dictionary leoJichekeshe tu hapa badala ukambembeleze mume kule, wivu unataka kumtoa roho, hebu wahi fasta
Hahaha wewe futuka tu lile deal letu libumburukeHahahaaaa! Usijali cerelac zipo za kutosha, nitakubugisha hadi shavu lionekanepo, khaaah mtoto kama hauli!!
Hapo sawa hayo ndio maneno, maana mtoto kilizi huyu asijetuharibia shughuli
Mmh leo kiinglish is not reachable at allHahahaaaa! Leo atusamehe kwakweli lugha haipandi kabisaa ni ekotite tuu, dikshonari tutatafuta keshokutwaaaaa!
Hahaha anza tu kuleta utani wa mawe while unaishi kwenye nyumba ya viooHahahaaaa! Hapana mama tunaziba hiyo mifupa kidogo wasije dhani ni skeleton sio mtu.
Ale nyamaaa,Labda aongee na mito mie ndio leo hata money siielewi ni burudani tuuu
Teh ntachoma moto basi hiyo nyumbaHahahaaaaa!! Si nahamia kwanza kwenye nyumba ya vyuma
Sema tu wivu umekushika, tatizo wewe hauna siku ya kuzaliwa tungekuspoil nawewe kidogo, basi tena.