AaaahaaaaaEng . HERS AMEKOSEA SANA.
Leo Hers akiwa South Africa, ameshuhudia derby kati ya Kaizer Chief na Orlando pirates akiwa pamoja na Rais wa FIFA, Pamoja na raisi wa CAF.
Kitu alichokosea, ameanza kuwasimulia jinsi Yanga ilivyomfunga simba goli 5.
Raisi wa CAF amecheka, Rais wa FIFA amempia salute.
Utani wetu wa jadi ubaki nyumbani si kimataifa. Kulikuwa na haja gani kusema simba alifungwa 5 mbele ya Raisi wa FIFA?.
Mbona hajawataja KMC?
Ameidhalilisha simba kimataifa...na inaweza kuwa na athari hasi kwa simba kama ikitokea fursa kutoka juu
Video clip kwa comment [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji849][emoji849]View attachment 2811096
Hahaha, bora wao want wawili na mambo yanaonekana , sie mbumbumbu tunalumbana
NGUVU YA MGANGA HYO.isikupe tabu.Hahaha, bora wao want wawili na mambo yanaonekana , sie mbumbumbu tunalumbana
Hahahaha,kumbe eeh ,duhNGUVU YA MGANGA HYO.isikupe tabu.
Shida inaanzia hapaNGUVU YA MGANGA HYO.isikupe tabu.
Waache watu wafurahie ushindi wao popote. Unacheza na wataalam wa kumiliki mpira na kuupitisha kwenye njia muafaka halafu unakabia macho unategemea nini?[emoji3]Eng . HERS AMEKOSEA SANA.
Leo Hers akiwa South Africa, ameshuhudia derby kati ya Kaizer Chief na Orlando pirates akiwa pamoja na Rais wa FIFA, Pamoja na raisi wa CAF.
Kitu alichokosea, ameanza kuwasimulia jinsi Yanga ilivyomfunga simba goli 5.
Raisi wa CAF amecheka, Rais wa FIFA amempia salute.
Utani wetu wa jadi ubaki nyumbani si kimataifa. Kulikuwa na haja gani kusema simba alifungwa 5 mbele ya Raisi wa FIFA?.
Mbona hajawataja KMC?
Ameidhalilisha simba kimataifa...na inaweza kuwa na athari hasi kwa simba kama ikitokea fursa kutoka juu
Video clip kwa comment [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji849][emoji849]View attachment 2811096
Clip ipo hata kwenye page ya "yanga fans" imepostiwa,, infantino aliuliza ngapi, hersi kamjibu boom 5Acha uongo mleta mada. Usifananishe akili za Raisi Hersi na Ahmed Ally.
Kama club kubwa tulivyoitwa AFLEng kaitwa kwa ajili ya Fainal ya leo na FIFA sasa hivi kwenye uongozi wao itakua inawatumia viongozi wa vilabu waliofanya vizuri...
Kwani jumapili haujaona?.Hahahaha,kumbe eeh ,duh