Hersi atikisa Afrika: Peter Shalulile aikataa Mamelodi sundowns, kutua Jangwani msimu ujao

Hersi atikisa Afrika: Peter Shalulile aikataa Mamelodi sundowns, kutua Jangwani msimu ujao

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Screenshot 2022-04-15 at 18.34.00.png


Injinia Hersi katikisa afrika unaambiwa kimyakimya baada ya kutoka Ivory coast kumsaini Ki aziz ambaye amekiri kwamba Yanga ndiyo klabu kubwa na yenye mafanikio makubwa kabisa Afrika mashariki na kati ,jamaa akatua pale South Africa kimafia kabisa na kufanikiwa kumshawishi Mnamibia Peter shalulile kutua jangwani, hizi ndizo sababu zilizochangia :

* Shalulile kachoka na Mamelodi sundowns kukosa ambitions ya kuchukua ubingwa wa club duniani na anaamini msimu ujao akijumuika na chiko ushindi na Mayele pale mbele, Yanga watachukua ubingwa wa Afrika na ubingwa wa dunia kwa vilabu na Injinia alimuhakikishia hilo ndilo lengo lao

*Mshahara atakaolipwa Yanga ni mara tatu ya ule wa Mamelodi sundowns

*Kakiri kwamba Bilionea Motsepe anayemiliki hiyo team ni bilionea wa mchongo ni bora afanye kazi na bilionea wa Gsm wa ukweli asiye na makandomakando ambaye anasifiwa sana na wachambuzi wa bongo kwa uadilifu wake na kupenda kwake soka toka moyoni na kumwaga mapesa bila ubahili

*kafurahishwa na ramani ya uwanja wa yanga kule kigamboni immemvutia sana

*Kavutiwa kufanya kazi na CEO genius Senzo ambaye hajawahi kutokea Afrika nzima

*Thamani ya Shalulile ni Euro milioni 1.7 yaani billions 4.5 lakini unaambiwa Tajiri la Yanga liko tayari kuvunja benki

Hongereni sana Yanga maana hata Rennes Ya France walichemka kumpata huyo jamaa
 
Achana na hiyo kama uliona ukimya wa hersi hapo katikati ngoja nikupe sababu yake

Huyu jamaa unaambiwa mara ya mwisho kaonekana yuko Niger kwenye maongezi na uongozi mzima wa USGN


sijui waliongea nini ila Adebayor kaonekana kuwa impressed ukizingatia huku bongo Hersi anakuwa treated kama king na ndio maana zile vibes za kumbeba juu juu ilikuwa normal kwake
 
View attachment 2188592

Injinia Hersi katikisa afrika unaambiwa kimyakimya baada ya kutoka Ivory coast kumsaini Ki aziz ambaye amekiri kwamba Yanga ndiyo klabu kubwa na yenye mafanikio makubwa kabisa Afrika mashariki na kati ,jamaa akatua pale South Africa kimafia kabisa na kufanikiwa kumshawishi Mnamibia Peter shalulile kutua jangwani, hizi ndizo sababu zilizochangia :

* Shalulile kachoka na Mamelodi sundowns kukosa ambitions ya kuchukua ubingwa wa club duniani na anaamini msimu ujao akijumuika na chiko ushindi na Mayele pale mbele, Yanga watachukua ubingwa wa Afrika na ubingwa wa dunia kwa vilabu na Injinia alimuhakikishia hilo ndilo lengo lao

*Mshahara atakaolipwa Yanga ni mara tatu ya ule wa Mamelodi sundowns

*Kakiri kwamba Bilionea Motsepe anayemiliki hiyo team ni bilionea wa mchongo ni bora afanye kazi na bilionea wa Gsm wa ukweli asiye na makandomakando ambaye anasifiwa sana na wachambuzi wa bongo kwa uadilifu wake na kupenda kwake soka toka moyoni na kumwaga mapesa bila ubahili

*kafurahishwa na ramani ya uwanja wa yanga kule kigamboni immemvutia sana

*Kavutiwa kufanya kazi na CEO genius Senzo ambaye hajawahi kutokea Afrika nzima

*Thamani ya Shalulile ni Euro milioni 1.7 yaani billions 4.5 lakini unaambiwa Tajiri la Yanga liko tayari kuvunja benki

Hongereni sana Yanga maana hata Rennes Ya France walichemka kumpata huyo jamaa
Leo sio Tarehe 01 April
 
Achana na hiyo kama uliona ukimya wa hersi hapo katikati ngoja nikupe sababu yake

Huyu jamaa unaambiwa mara ya mwisho kaonekana yuko Niger kwenye maongezi na uongozi mzima wa USGN


sijui waliongea nini ila Adebayor kaonekana kuwa impressived ukizingatia huku bongo Hersi anakuwa treated kama king na ndio maana zile vibea za kumbeba juu juu ilikuwa normal kwake
Kumbe na wewe umeinyaka?
 
Huyo engeneer ni moja ya watu ambao wamekuja kuharibu mpira wa nchi hii ni swala la muda tu
 
Mr Utopwinyo mbona hasira nyingi? au umezoea kina chico ushindi? unaletewa world class players na Injinia PLUS BILIONEA LA UKWELI GSM bado unalalamika
Sijui kama kuna sehemu nimelalamika zaidi ya kumsifia mleta uzi
 
Back
Top Bottom