Hersi atikisa Afrika: Peter Shalulile aikataa Mamelodi sundowns, kutua Jangwani msimu ujao

msifie Injinia na bilionea lisilo la mchongo wala makandokando linalomwaga mahela bila ubahili siyo kama Mudi asiyejua chochote
hivi kiwanja wanachogombania na RC wa awamu iliyopita kimefikia wapi?
 
hivi kiwanja wanachogombania na RC wa awamu iliyopita kimefikia wapi?
wamechukua ramani ya uwanja wa celta vigo kinaanguka kiwanja cha hatari kabisa hapo kigamboni shukrani kubwa sana kwa Daudi bashite ingawa leo wanamtukana aliwapa bure kabisa
 
wamechukua ramani ya uwanja wa celta vigo kinaanguka kiwanja cha hatari kabisa hapo kigamboni shukrani kubwa sana kwa Daudi bashite ingawa leo wanamtukana aliwapa bure kabisa
kama ramani hizo zipo tu, hata Posta mpya zinauzwa
 
Vp na chama ilifikia wapiiii
 
Umeandika KISHABIKI sana! Tukubaliane kuwa, hata hapa JF wapo WAANZISHA/WACHANGIA THREAD WA "MICHONGO!!!"
 
MAKOLO WANABISHA
 
Sijui kama ni wa msimbazi, hata kama ni wa msimbazi bado kaandika ujinga, tusiwe na ushabiki maandazi uliopitiliza
Mimi husifia yeyote anayefanya vizuri, hata mbeya city wakimleta Alieu Dieng nitawasifia, mpe sifa yake Injinia Hersi na tajiri lisilo la mchongo Gsm kwa kufanikisha usajili huu mkubwa kabisa hapo pia kuna Joash onyango, Ki aziz, Adebayor na konde boy washamwaga wino jangwani
 
Haya mkuu nishajua ulipo.

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
dah.. hili kwel ni flagi la kizembe!
 
Nasikia CR 7 naye kampigia simu injinia akiomba asajiliwe jangwani ktk kuhitimisha soka lake.
 
Dah anavyoongelea yanga km madrid mpira gani wabongo mpka ujitoe fahamu kiasi hicho
 
amka toka usingizini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…