Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Hakuna mwenye ubavu wa kumkosoa kijana wa tajiri na Rais ajaye.Kombe ni mali ya klabu haipaswi kutumika na mtu (mgombea) mmoja katika kutafuta namna ya kuingia madarakani, hatakama uko peke yako, inawezekana bado wapiga kura wangeweza kupiga kura za hapana. Unaenda na kombe ili kuonyesha nini
Tate Mkuu