Hersi na GSM wamemaliza kazi yao

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Hadithi za watu wa kale walikuwa wanasema wakoloni wanapotaka kufukia mali zao walitumia mazindiko ya kuwazika watu hai,sasa hii karne ya sasa GSM na Hersi wamewamaliza na kuwachukulia akili zao watu wa uto kuanzia leo hata mambo yaende kombo mashabiki wa uto watakua hawana uwezo wala kauli wamefunikwa na kufumbwa mdomo kabisa kwa kupewa nyama za fisi!

 
Ila Nampa kongole mpishi nyama ni laini mchuzi msafi chombo ni kikubwa kauli za wagawaji zimejaa uungwana imagine unaulizwa "ungependa stake au mchanganyiko"[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Simba jueni mkifungwa neema zinakuwa nyingi Jangwani fungweni tena ndugu zangu
 
Hamuwezi hoji uwanja wa timu maana supu imeshawamaliza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…