Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha watu wanywe supu wewe...Si umeona Mpaka limao, pilipili na chapati mbilimbili zinagawiwa? Lini Mohamedi alfanya mambo kama hayo?Hadithi za watu wa kale walikuwa wanasema wakoloni wanapotaka kufukia mali zao walitumia mazindiko ya kuwazika watu hai,sasa hii karne ya sasa Gsm na Hersi wamewamaliza na kuwachukulia akili zao watu wa uto kuanzia leo hata mambo yaende kombo mashabiki wa uto watakua hawana uwezo wala kauli wamefunikwa na kufumbwa mdomo kabisa kwa kupewa nyama za fisi!View attachment 2811255View attachment 2811256View attachment 2811257
Wewe nawe akili huna, hao mashabiki walioenda kunywa supu wanafika hata robo ya jumla ya idadi ya mashabiki wa Yanga Tanzania nzima? Mpaka uchukulie kama mashabiki wote wamepigwa zongo.Hadithi za watu wa kale walikuwa wanasema wakoloni wanapotaka kufukia mali zao walitumia mazindiko ya kuwazika watu hai,sasa hii karne ya sasa Gsm na Hersi wamewamaliza na kuwachukulia akili zao watu wa uto kuanzia leo hata mambo yaende kombo mashabiki wa uto watakua hawana uwezo wala kauli wamefunikwa na kufumbwa mdomo kabisa kwa kupewa nyama za fisi!View attachment 2811255View attachment 2811256View attachment 2811257
Tatizo lako ushabiki wa mpira una uchukulia seriously sana,inawezekana nyie ndio mnazimaga baada ya kupata matokeo.Hadithi za watu wa kale walikuwa wanasema wakoloni wanapotaka kufukia mali zao walitumia mazindiko ya kuwazika watu hai,sasa hii karne ya sasa Gsm na Hersi wamewamaliza na kuwachukulia akili zao watu wa uto kuanzia leo hata mambo yaende kombo mashabiki wa uto watakua hawana uwezo wala kauli wamefunikwa na kufumbwa mdomo kabisa kwa kupewa nyama za fisi!View attachment 2811255View attachment 2811256View attachment 2811257
Inawezekana umekosa nauli ya kufika eneo la tukio hili povu lote ni kwa sababu gani au ndio akili zishaanza kuondoka na supu maana wamenuiwa mashabiki wote wa frog!Tatizo lako ushabiki wa mpira una uchukulia seriously sana,inawezekana nyie ndio mnazimaga baada ya kupata matokeo.
Angalia mwenzako mpira kwake ni kitu cha kawaida na burudani.Huo ndio utani kwenye mpira,mtu kama huyu hata ukimtania harushi ngumi,ila wewe unaonekana upo sensitive sana na maswala ya mpira.
View attachment 2811342
Endelea kuuchukulia ushabiki wa mpira kama kitu sensitive, ww mwenye akili ujazo wa kisoda ndio unaliona povu.Inawezekana umekosa nauli ya kufika eneo la tukio hili povu lote ni kwa sababu gani au ndio akili zishaanza kuondoka na supu maana wamenuiwa mashabiki wote wa frog!
Tangazo lilitoka kunya mchuzi kitafunio ubebe mwenyewe ndio maana wengi wao wanavibakuli bila vitafunwa!Fanya uwahi kabla haijaisha chapati tano utazikuta hukohuko ndugu
Dawa ya njaa ni supu ndio hio apo, karibu mtani maendeleo hayana chamaNaangalia hizi picha kisha nasema "NJAA MBAYA SANA"
Na anakula chapati 5Tatizo lako ushabiki wa mpira una uchukulia seriously sana,inawezekana nyie ndio mnazimaga baada ya kupata matokeo.
Angalia mwenzako mpira kwake ni kitu cha kawaida na burudani.Huo ndio utani kwenye mpira,mtu kama huyu hata ukimtania harushi ngumi,ila wewe unaonekana upo sensitive sana na maswala ya mpira.
View attachment 2811342
Huyo makonda angewapikia kwake huko!Mkuu ngombe wa makonda na shabiki how iwe gsm ndio maana tunaitwa mambumbumbu
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Utakunywa uwanja? sasa hivi tunachezea baharini?Hamuwezi hoji uwanja wa timu maana supu imeshawamaliza!
Kunywa maji utulie!Endelea kuuchukulia mpira sensitive, sio povu pale ww mwenye akili ujazo wa kisoda ndio unaliona povu.
Wenye akili hawali?Nchi ina wajinga kweli kweli yaani mtu anaacha kula kwake na mke wake anaenda kula kwenye kijamvi.
Kunywa supu upunguze hasira.Kunywa maji utulie!