Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
HaKujua club bingwa is not for everybodyRais wa Yanga, Engineer Hersi Said alivyowasili Dar Kinyonge, ashindwa kuongea baada ya sare na TP Mazembe kwenye mechi ya Tatu kwenye kundi A michuano ya CAF Champions League.
Yanga kwasasa anabuluza mkia kwenye kundi hilo akiwa na alama 1 na walianza vibaya kwa kupoteza mechi mbili mfululizo
View attachment 3177173
View attachment 3177174
oya πDah!Kwa hiyo hatunywi supu kwa mahindi ya kuchoma?Asinune aisee!
Tena?Alituandalia hadi supu kumbuka.Huyu Al Shabab ndio chimbuko la matatizo yote ya Yanga.
Awe na tabasamu.Wote hatukai Vingunguti kwenye nyama bei poa.Tume-miss supu ile ngumu.Supu oooyeee!oya π
π Supi itapita wapi wakati hata mate tu hayamezeki huko Jangwani mkuuDah!Kwa hiyo hatunywi supu kwa mahindi ya kuchoma?Asinune aisee!
Si kweli mkuu.Mbona mimi nabugia makongoro ya nyati kwa mihogo safi kabisa hapa nilipo?π Supi itapita wapi wakati hata mate tu hayamezeki huko Jangwani mkuu
Ataongea nini wakati anajua shida yote hii kaileta yeye? Binadamu tumeumbiwa sura ya aibu.Rais wa Yanga, Engineer Hersi Said alivyowasili Dar Kinyonge, ashindwa kuongea baada ya sare na TP Mazembe kwenye mechi ya Tatu kwenye kundi A michuano ya CAF Champions League.
Yanga kwasasa anabuluza mkia kwenye kundi hilo akiwa na alama 1 na walianza vibaya kwa kupoteza mechi mbili mfululizo
View attachment 3177173
View attachment 3177174
Kikosi cha Yanga kimefika Salama Tanzania mapema asubuhi ya leo, Desemba 15 kwa ajili ya maandalizi ya mechi zingine zilizombele yao
View attachment 3177180View attachment 3177181
Vyura outRais wa Yanga, Engineer Hersi Said alivyowasili Dar Kinyonge, ashindwa kuongea baada ya sare na TP Mazembe kwenye mechi ya Tatu kwenye kundi A michuano ya CAF Champions League.
Yanga kwasasa anabuluza mkia kwenye kundi hilo akiwa na alama 1 na walianza vibaya kwa kupoteza mechi mbili mfululizo
View attachment 3177173
View attachment 3177174
Kikosi cha Yanga kimefika Salama Tanzania mapema asubuhi ya leo, Desemba 15 kwa ajili ya maandalizi ya mechi zingine zilizombele yao
View attachment 3177180View attachment 3177181
kafara ya ng'ombe kibudu π π π π πTena?Alituandalia hadi supu kumbuka.
Kama unampenda huyo basha wako Magoma mwambie awanie Uongozi muda ukifika.Injinia amuachie timu Mzee Magoma maana timu imeshamshinda
Aaaah!Tusianze madharau aisee!Mimi nilibeba hadi kibweta cha makande niisindikize supu kwa umaridadi unajua?Wapi supu?πkafara ya ng'ombe kibudu π π π π π
Msimu uliopita mechi tatu yanga walikua na point ngapi?Ataongea nini wakati anajua shida yote hii kaileta yeye? Binadamu tumeumbiwa sura ya aibu.
Mechi 3 point 1? Yanga hii iliyovitoa jasho vilabu kongwe Afrika misimu mitatu mfululizo?
Hii ni fedheha, na lawama zote ni kwa Hersi kwa kumuondosha Gamondi.
Lakini ni vyema haya yametokea ajirekebishe ingali mapema, Hersi mabega yalishazidi kichwa!
Huwezi kusonga mbele kwa kuangalia ulikotoka, Yanga iliyocheza fainali Shirikisho na kutolewa kwa mizengwe robo fainali Klabu Bingwa haikupaswa kupata matokeo mabovu namna hii.Msimu uliopita mechi tatu yanga walikua na point ngapi?
Swali langu mbona liko wazi tu bibieHuwezi kusonga mbele kwa kuangalia ulikotoka, Yanga iliyocheza fainali Shirikisho na kutolewa kwa mizengwe robo fainali Klabu Bingwa haikupaswa kupata matokeo mabovu namna hii.
Nami nimekujibu kwa falsafa, I guess nimetumia nyundo kuua mbu imekuwia vigumu kuelewa.Swali langu mbona liko wazi tu bibie