Hersi Said alivyowasili Dar Kinyonge, ashindwa kuongea baada ya sare na TP Mazembe

Hersi Said alivyowasili Dar Kinyonge, ashindwa kuongea baada ya sare na TP Mazembe

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Rais wa Yanga, Engineer Hersi Said alivyowasili Dar Kinyonge, ashindwa kuongea baada ya sare na TP Mazembe kwenye mechi ya Tatu kwenye kundi A michuano ya CAF Champions League.

Yanga kwasasa anabuluza mkia kwenye kundi hilo akiwa na alama 1 na walianza vibaya kwa kupoteza mechi mbili mfululizo

IMG_1609.jpeg

Kikosi cha Yanga kimefika Salama Tanzania mapema asubuhi ya leo, Desemba 15 kwa ajili ya maandalizi ya mechi zingine zilizombele yao
IMG_1612.jpeg
IMG_1613.jpeg

 
Rais wa Yanga, Engineer Hersi Said alivyowasili Dar Kinyonge, ashindwa kuongea baada ya sare na TP Mazembe kwenye mechi ya Tatu kwenye kundi A michuano ya CAF Champions League.

Yanga kwasasa anabuluza mkia kwenye kundi hilo akiwa na alama 1 na walianza vibaya kwa kupoteza mechi mbili mfululizo
View attachment 3177173
View attachment 3177174
HaKujua club bingwa is not for everybody
 
Rais wa Yanga, Engineer Hersi Said alivyowasili Dar Kinyonge, ashindwa kuongea baada ya sare na TP Mazembe kwenye mechi ya Tatu kwenye kundi A michuano ya CAF Champions League.

Yanga kwasasa anabuluza mkia kwenye kundi hilo akiwa na alama 1 na walianza vibaya kwa kupoteza mechi mbili mfululizo
View attachment 3177173
View attachment 3177174
Kikosi cha Yanga kimefika Salama Tanzania mapema asubuhi ya leo, Desemba 15 kwa ajili ya maandalizi ya mechi zingine zilizombele yao
View attachment 3177180View attachment 3177181
Ataongea nini wakati anajua shida yote hii kaileta yeye? Binadamu tumeumbiwa sura ya aibu.

Mechi 3 point 1? Yanga hii iliyovitoa jasho vilabu kongwe Afrika misimu mitatu mfululizo?
Hii ni fedheha, na lawama zote ni kwa Hersi kwa kumuondosha Gamondi.

Lakini ni vyema haya yametokea ajirekebishe ingali mapema, Hersi mabega yalishazidi kichwa!
 
Rais wa Yanga, Engineer Hersi Said alivyowasili Dar Kinyonge, ashindwa kuongea baada ya sare na TP Mazembe kwenye mechi ya Tatu kwenye kundi A michuano ya CAF Champions League.

Yanga kwasasa anabuluza mkia kwenye kundi hilo akiwa na alama 1 na walianza vibaya kwa kupoteza mechi mbili mfululizo
View attachment 3177173
View attachment 3177174
Kikosi cha Yanga kimefika Salama Tanzania mapema asubuhi ya leo, Desemba 15 kwa ajili ya maandalizi ya mechi zingine zilizombele yao
View attachment 3177180View attachment 3177181
Vyura out
 
Ataongea nini wakati anajua shida yote hii kaileta yeye? Binadamu tumeumbiwa sura ya aibu.

Mechi 3 point 1? Yanga hii iliyovitoa jasho vilabu kongwe Afrika misimu mitatu mfululizo?
Hii ni fedheha, na lawama zote ni kwa Hersi kwa kumuondosha Gamondi.

Lakini ni vyema haya yametokea ajirekebishe ingali mapema, Hersi mabega yalishazidi kichwa!
Msimu uliopita mechi tatu yanga walikua na point ngapi?
 
Huwezi kusonga mbele kwa kuangalia ulikotoka, Yanga iliyocheza fainali Shirikisho na kutolewa kwa mizengwe robo fainali Klabu Bingwa haikupaswa kupata matokeo mabovu namna hii.
Swali langu mbona liko wazi tu bibie
 
Back
Top Bottom