Hersi Said usirudie kufanya exclusive interview, haupo smart

Hersi Said usirudie kufanya exclusive interview, haupo smart

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Mzee Hassan Dalali nadhani ni darasa la saba B lakini aliongoza Simba kwa ufanisi wa hali ya juu sana na ndio muanzilishi wa Simba Day. Tamasha linalikua na kuigwa na vilabu kila mwaka

Nimeanza kumfahamu Dalali miaka ya 1990s akipiga gitaa bendi ya Vijana Jazz, humble guy with sense of humour.

Kuna watu wanadhani ukiwa na hela basi we una akili sana, kuna matajiri wengi tu nawafahamu hawakumaliza hata darasa la saba, mmoja anamiliki timu iliyotolewa juzi kimataifa,

Kwa hiyo unaweza kuwa tajiri au kiongozi bila kuwa na elimu kubwa,

Hayati Karume hakusoma hata sekondari.

Kabla ya exclusive intetview ya wiki iliyopita na Wasafi Media,nilidhani Hersi Said yuko smart upstairs ila nikagundua ni wa kawaida sana.

Jinsi alivyokuwa akijibu maswali inatafakarisha.

1. Kusema Haji Manara ni mwanachama wa kawaida? Hii ni statement ya layman katika uongozi, simkubali sana Haji Manara japo ni classmate wangu Mnazi Mmoja Primary ila haikuwa sahihi kumdhalikisha mtu aliyeiba faili la ushindi wa Simba.

Haji ana namba za wazee wa kamati ya ufundi ya nje ya uwanja iliyokuwa ikitumiwa na Simba, anefanikiwa kuhihamishia Yanga na ndio inayoleta makombe Jangwani

2. Aliulizwa swali na Oscar Oscar kuwa yeye kipindi anakua alikuwa shabiki wa Simba, akaanza kumshambulia kuwa kipindi hicho Oscar Oscar alijywa kwao Kaliua hayo mambo kayajuaje na aliongea kwa kupanic, that was irrellevant and lack of wisdom.

3.kusema kuwa Yanga haimlipi hata 100 ilikuwa a big mistake,hii italeta oicha kuwa yeye ndio mrija wa GSM kuinyonya Yanga,itaonyesha kuwa yuko pale kwa maslahi ya GSM na sio Yanga,kauli ambayo inayapa nguvu madai ya Mzee Magoma, professinal way ilikuwa yeye kuresign GSM kwa muda anaoitumikia Yanga ili kujenga trust kwa wanachama.

Maboko ni mengi sana, you are not a good public speaker, kwingineko uko Ok

Kiufupi the way alivyokuwa akijibu nikashawishika kutaka kujua kasoma chuo gani??

Soma Pia: Eng. Hersi Said: Mimi sio mfanyakazi wa Yanga, Sipo kwenye orodha ya wanaolipwa na Yanga

kasoma DIT chuo ambacho kasoma mtu mmoja tu Tanzania hii anbaye ni good public speaker,Mark Mwandosya.

Sina maana kuwa Hersi Said ni kilaza, la hasha bali sio mzungumzaji mzuri yeye ni technocrat na strategist mzuri, kutokana na nature ya chuo alichosoma kila less theories but more practical

Vyuoni huwa kuna tutorial/ seminar/ presentation hizi huwa zinajenga sana wasomi uwezo wa kujibu hoja nzito bila kutoka kwenye reli.

Kuongoza vilabu vya mpira nchini,au kuwa na hela haimaanishi umeelimika

Kama ni Yanga ifunge Simba, kama ni Simba ifunge Yanga umemaliza

Yanga ingekuwa haishindi kibarua cha Hersi kingekuwa kigumu sana pale Jangwani
 
Mzee Hassan Dalali nadhani ni darasa la saba B lakini aliongoza Simba kwa ufanisi wa hali ya juu sana,na ndio muanzilishi wa Simba Day ,Tamasha linalikua na kuigwa na vilabu kila mwaka

Nimeanza kumfahamu Dalali miaka ya 1980s akipiga gitaa bendi ya Vijana Jazz,humble guy with sense of humour.

Kuna watu wanadhani ukiwa na hela basi we una akili sana,kuna matajiri wengi tu nawafahamu hawakumaliza hata darasa la saba,mmoja anamiliki timu iliyotolewa juzi kimataifa,

Kwa hiyo unaweza kuwa tajiri au kiongozi bila kuwa na elimu kubwa,

Hayati Karume hakusoma hata sekondari.

Kabla ya exclusive intetview ya wiki iliyopita na Wasafi Media,nilidhani Hersi Said yuko smart upstairs ila nikagundua ni wa kawaida sana.
Jinsi alivyokuwa akijibu maswali inatafakarisha.

1.kusema Haji Manara ni mwanachama wa kawaida??hii ni statement ya layman katika uongozi,simkubali sana Haji Manara japo ni classmate wangu Mnazi Mmoja Primary ila haikuwa sahihi kumdhalikisha mtu aliyeiba faili la ushindi wa Simba.
Haji ana namba za wazee wa kamati ya ufundi ya nje ya uwanja iliyokuwa ikitumiwa na Simba,anefanikiwa kuhihamishia Yanga na ndio inayoleta makombe Jangwani

2.Aliulizwa swali na Oscar Oscar kuwa yeye kipindi anakua alikuwa shabiki wa Simba,akaanza kumshambulia juwa kipindi hicho Oscar Oscar alijywa kwao Kaliua hayo mambo kayajuaje na aliongea kwa kupanic.that was irrellevant and lack of wisdom.

Maboko ni mengi sana

Kiufupi the way alivyokuwa akijibu nikashawishika kutaka kujua kasoma chuo gani??

kasoma DIT chuo ambacho kasoma mtu mmoja tu Tanzania hii anbaye anaheshimika,Mark Mwandisya,

Vyuoni huwa kuna tutorial/seminar/presentation hizi huwa zinajenga sana wasomi uwezo wa kujibu hoja nzito bila kutoka kwenye reli.

Kuongoza vilabu vya mpira nchini,au kuwa na hela haimaanishi umeelimika
Kama ni Yanga ifunge Simba,kama ni Simba ifunge Yanga umemaliz
 
kasoma DIT chuo ambacho kasoma mtu mmoja tu Tanzania hii anbaye anaheshimika,Mark Mwandisya,
Mkuu, kabla ya kuponda taasisi za kielimu hakikisha una taarifa sahihi hasa katika jukwaa lenye watu makini kama hili. Unajua mwanzilishi mmojawapo wa JF kasoma chuo gani? Je haeshimiki?

Back to your topic kiukweli Hersi alizingua kwenye ile interview lakini haina maana kwamba hana akili kama unavyotaka kuaminisha watu.

Nadhani mafanikio yamemfika kichwani sasa, aliongea kwa kiburi na majivuno yaliyopitiliza hadi akaharibu, ile ilikuwa interview kubwa lakini aliiharibu mwenyewe kwa kiasi kikubwa.
 
Mzee Hassan Dalali nadhani ni darasa la saba B lakini aliongoza Simba kwa ufanisi wa hali ya juu sana,na ndio muanzilishi wa Simba Day ,Tamasha linalikua na kuigwa na vilabu kila mwak...
IMG_2940.jpeg
 
Mkuu, kabla ya kuponda taasisi za kielimu hakikisha una taarifa sahihi hasa katika jukwaa lenye watu makini kama hili. Unajua mwanzilishi mmojawapo wa JF kasoma chuo gani? Je haeshimiki...
Soma vizuri uzi nimeedit,Melo sijawahi kusikia sauti yake popote ila kazi yake tunaiona,yupo vizuri kwenye uchapa kazi ila huenda na ndivyo ilivyo bila shaka sio mzungumzaji
 
Back
Top Bottom