Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Kumetokea Nini Apostle
AAfande Kabinuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumetokea Nini Apostle
Anaomba MajiBinti wa yombo au
Alitakiwa ajibu ki GT. Unaweka na kakingereza kidogo "You know Manara this that well" halafu unakunywa maji kidogo kisha unasmile unasema next question please?maelezo kuhusu manara mbona yamenyooka mkuu,,injinia kasema kwamba Kwa sasa Haji ni mwanachama wa kawaida tunamtafutia nafasi itakayo mfaa. kwa maana kwamba kwasasa hana cheo chochote so ni mwanachama wa kawaida tu!
1.kusema Haji Manara ni mwanachama wa kawaida??hii ni statement ya layman katika uongozi,simkubali sana Haji Manara japo ni classmate wangu Mnazi Mmoja Primary ila haikuwa sahihi kumdhalikisha mtu aliyeiba faili la ushindi wa Simba.
Haji ana namba za wazee wa kamati ya ufundi ya nje ya uwanja iliyokuwa ikitumiwa na Simba,anefanikiwa kuhihamishia Yanga na ndio inayoleta makombe Jangwani
Na mimi namtazama kwa mtazamo huo mchapakazi ila sio mzungumzaji mzuriNamfahamu Engineer Said Hersi alikuwa ni shabiki lialia wa Simba alipokuwa akisoma.Amemuoa binti wa Dr.Guled wa Arusha.
Sio mzungumzaji mzuri lakini ni a doer.Ni mtendaji zaidi.
Hana majivuno ila maswali yalimtoa relini akapanic.
Alitakiwa apige siasa pale azunguke zunguke pale,sio kila swali linataka jibu sahihi,alijywa ba uwezi wa kukijibu bila kuleta sintofahamu,mimi na wewe hatukujua kuwa manara ni mwanachama wa kawaida,hiyo ingebaki siri ya ofisi tuKwahiyo kuhusu swala la Manara,alitakiwa ajibu aje?
Kwahiyo kuhusu swala la Manara,alitakiwa ajibu aje?
hata wee mleta Uzi upstair naona hamna kitu.Mzee Hassan Dalali nadhani ni darasa la saba B lakini aliongoza Simba kwa ufanisi wa hali ya juu sana,na ndio muanzilishi wa Simba Day ,Tamasha linalikua na kuigwa na vilabu kila mwaka
Nimeanza kumfahamu Dalali miaka ya 1980s akipiga gitaa bendi ya Vijana Jazz,humble guy with sense of humour.
Kuna watu wanadhani ukiwa na hela basi we una akili sana,kuna matajiri wengi tu nawafahamu hawakumaliza hata darasa la saba,mmoja anamiliki timu iliyotolewa juzi kimataifa,
Kwa hiyo unaweza kuwa tajiri au kiongozi bila kuwa na elimu kubwa,
Hayati Karume hakusoma hata sekondari.
Kabla ya exclusive intetview ya wiki iliyopita na Wasafi Media,nilidhani Hersi Said yuko smart upstairs ila nikagundua ni wa kawaida sana.
Jinsi alivyokuwa akijibu maswali inatafakarisha.
1.kusema Haji Manara ni mwanachama wa kawaida??hii ni statement ya layman katika uongozi,simkubali sana Haji Manara japo ni classmate wangu Mnazi Mmoja Primary ila haikuwa sahihi kumdhalikisha mtu aliyeiba faili la ushindi wa Simba.
Haji ana namba za wazee wa kamati ya ufundi ya nje ya uwanja iliyokuwa ikitumiwa na Simba,anefanikiwa kuhihamishia Yanga na ndio inayoleta makombe Jangwani
2.Aliulizwa swali na Oscar Oscar kuwa yeye kipindi anakua alikuwa shabiki wa Simba,akaanza kumshambulia juwa kipindi hicho Oscar Oscar alijywa kwao Kaliua hayo mambo kayajuaje na aliongea kwa kupanic.that was irrellevant and lack of wisdom.
Maboko ni mengi sana,You are not a good public speaker,kwingineko uko Ok
Kiufupi the way alivyokuwa akijibu nikashawishika kutaka kujua kasoma chuo gani??
kasoma DIT chuo ambacho kasoma mtu mmoja tu Tanzania hii anbaye ni good public speaker,Mark Mwandosya.
Sina maana kuwa Hersi Said ni kilaza,la hasha bali sio mzungumzaji mzuri yeye ni technocrat na strategist mzuri,kutokana na nature ya chuo alichosoma kila less theories but more practical
Vyuoni huwa kuna tutorial/seminar/presentation hizi huwa zinajenga sana wasomi uwezo wa kujibu hoja nzito bila kutoka kwenye reli.
Kuongoza vilabu vya mpira nchini,au kuwa na hela haimaanishi umeelimika
Kama ni Yanga ifunge Simba,kama ni Simba ifunge Yanga umemaliza
Angeweza kusema kuwa ni mwenzao wako nae ila wanamtafutia post baada ya kutoka kifungoni TFFmaelezo kuhusu manara mbona yamenyooka mkuu,,injinia kasema kwamba Kwa sasa Haji ni mwanachama wa kawaida tunamtafutia nafasi itakayo mfaa. kwa maana kwamba kwasasa hana cheo chochote so ni mwanachama wa kawaida tu!
Kwani hukuona kwenye mitandao watu wanauliza kati ya Manara na Ali Kamwe nani ni boss? Ilipelekea mpaka Ali Kamwe akajiuzuru,na watu hawakujua sababu ya kujiuzuru kwake,ilikua ni lazima awe na jibu la moja kwa moja,Alitakiwa apige siasa pale azunguke zunguke pale,sio kila swali linataka jibu sahihi,alijywa ba uwezi wa kukijibu bila kuleta sintofahamu,mimi na wewe hatukujua kuwa manara ni mwanachama wa kawaida,hiyo ingebaki siri ya ofisi tu
Umejitahidi kuwekeza kwenye majunguMzee Hassan Dalali nadhani ni darasa la saba B lakini aliongoza Simba kwa ufanisi wa hali ya juu sana na ndio muanzilishi wa Simba Day. Tamasha linalikua na kuigwa na vilabu kila mwaka
Nimeanza kumfahamu Dalali miaka ya 1980s akipiga gitaa bendi ya Vijana Jazz, humble guy with sense of humour.
Kuna watu wanadhani ukiwa na hela basi we una akili sana, kuna matajiri wengi tu nawafahamu hawakumaliza hata darasa la saba, mmoja anamiliki timu iliyotolewa juzi kimataifa,
Kwa hiyo unaweza kuwa tajiri au kiongozi bila kuwa na elimu kubwa,
Hayati Karume hakusoma hata sekondari.
Kabla ya exclusive intetview ya wiki iliyopita na Wasafi Media,nilidhani Hersi Said yuko smart upstairs ila nikagundua ni wa kawaida sana.
Jinsi alivyokuwa akijibu maswali inatafakarisha.
1. Kusema Haji Manara ni mwanachama wa kawaida? Hii ni statement ya layman katika uongozi, simkubali sana Haji Manara japo ni classmate wangu Mnazi Mmoja Primary ila haikuwa sahihi kumdhalikisha mtu aliyeiba faili la ushindi wa Simba.
Haji ana namba za wazee wa kamati ya ufundi ya nje ya uwanja iliyokuwa ikitumiwa na Simba, anefanikiwa kuhihamishia Yanga na ndio inayoleta makombe Jangwani
2. Aliulizwa swali na Oscar Oscar kuwa yeye kipindi anakua alikuwa shabiki wa Simba, akaanza kumshambulia kuwa kipindi hicho Oscar Oscar alijywa kwao Kaliua hayo mambo kayajuaje na aliongea kwa kupanic, that was irrellevant and lack of wisdom.
Maboko ni mengi sana, you are not a good public speaker, kwingineko uko Ok
Kiufupi the way alivyokuwa akijibu nikashawishika kutaka kujua kasoma chuo gani??
kasoma DIT chuo ambacho kasoma mtu mmoja tu Tanzania hii anbaye ni good public speaker,Mark Mwandosya.
Sina maana kuwa Hersi Said ni kilaza, la hasha bali sio mzungumzaji mzuri yeye ni technocrat na strategist mzuri, kutokana na nature ya chuo alichosoma kila less theories but more practical
Vyuoni huwa kuna tutorial/ seminar/ presentation hizi huwa zinajenga sana wasomi uwezo wa kujibu hoja nzito bila kutoka kwenye reli.
Kuongoza vilabu vya mpira nchini,au kuwa na hela haimaanishi umeelimika
Kama ni Yanga ifunge Simba, kama ni Simba ifunge Yanga umemaliza
Hersi yanga tangu kinda,wewe endelea kumtetea klassmet wako,ni mwanachama wa kawaida ndiyo huyo haji,na hajaja yanga na file lolote la ushindiUko sawa,sio good public speaker,mengine huenda yuko sawa
Hersi hakuwahi kuwa simba,nilisoma nae a level,alikua five mie sixNamfahamu Engineer Said Hersi alikuwa ni shabiki lialia wa Simba alipokuwa akisoma.Amemuoa binti wa Dr.Guled wa Arusha.
Sio mzungumzaji mzuri lakini ni a doer. Ni mtendaji zaidi.
Hana majivuno ila maswali yalimtoa relini akapanic.
Fact.....Mzee Hassan Dalali nadhani ni darasa la saba B lakini aliongoza Simba kwa ufanisi wa hali ya juu sana na ndio muanzilishi wa Simba Day. Tamasha linalikua na kuigwa na vilabu kila mwaka
Nimeanza kumfahamu Dalali miaka ya 1980s akipiga gitaa bendi ya Vijana Jazz, humble guy with sense of humour.
Kuna watu wanadhani ukiwa na hela basi we una akili sana, kuna matajiri wengi tu nawafahamu hawakumaliza hata darasa la saba, mmoja anamiliki timu iliyotolewa juzi kimataifa,
Kwa hiyo unaweza kuwa tajiri au kiongozi bila kuwa na elimu kubwa,
Hayati Karume hakusoma hata sekondari.
Kabla ya exclusive intetview ya wiki iliyopita na Wasafi Media,nilidhani Hersi Said yuko smart upstairs ila nikagundua ni wa kawaida sana.
Jinsi alivyokuwa akijibu maswali inatafakarisha.
1. Kusema Haji Manara ni mwanachama wa kawaida? Hii ni statement ya layman katika uongozi, simkubali sana Haji Manara japo ni classmate wangu Mnazi Mmoja Primary ila haikuwa sahihi kumdhalikisha mtu aliyeiba faili la ushindi wa Simba.
Haji ana namba za wazee wa kamati ya ufundi ya nje ya uwanja iliyokuwa ikitumiwa na Simba, anefanikiwa kuhihamishia Yanga na ndio inayoleta makombe Jangwani
2. Aliulizwa swali na Oscar Oscar kuwa yeye kipindi anakua alikuwa shabiki wa Simba, akaanza kumshambulia kuwa kipindi hicho Oscar Oscar alijywa kwao Kaliua hayo mambo kayajuaje na aliongea kwa kupanic, that was irrellevant and lack of wisdom.
Maboko ni mengi sana, you are not a good public speaker, kwingineko uko Ok
Kiufupi the way alivyokuwa akijibu nikashawishika kutaka kujua kasoma chuo gani??
kasoma DIT chuo ambacho kasoma mtu mmoja tu Tanzania hii anbaye ni good public speaker,Mark Mwandosya.
Sina maana kuwa Hersi Said ni kilaza, la hasha bali sio mzungumzaji mzuri yeye ni technocrat na strategist mzuri, kutokana na nature ya chuo alichosoma kila less theories but more practical
Vyuoni huwa kuna tutorial/ seminar/ presentation hizi huwa zinajenga sana wasomi uwezo wa kujibu hoja nzito bila kutoka kwenye reli.
Kuongoza vilabu vya mpira nchini,au kuwa na hela haimaanishi umeelimika
Kama ni Yanga ifunge Simba, kama ni Simba ifunge Yanga umemaliza
Mi nilitangulia kumaliza,sikufuatilia matokeo ya nyuma,ila alihama hiyo shule akaenda kumalizia kwingine, division three kwa PCM a level ni kawaida sanaVipi darasani bila shaka alipata div 3
Hersi hajasoma form 5 wala 6, tumesoma naye darasa moja engineering DIT, Ni mtu wa utani sana ila darasani ni very smart. Nakumbuka field ya second year wote tulikaguliwa na Dr. Benelith Mahenge ambaye baadaye alikuja kuwa kiongozi ktk nyazfa mbalimbali, Hersi Said ni Yanga lialia sana na shabiki la kutupwa la Liverkuku.Hersi hakuwahi kuwa simba,nilisoma nae a level,alikua five mie six