Hersi Said usirudie kufanya exclusive interview, haupo smart

Hersi Said usirudie kufanya exclusive interview, haupo smart

Fafanua hapa ameiba faili la ushindi wa Simba kivipi mkuu?

Hapa unamaanisha Yanga inashinda Kutokana na Haji kuwa na namba za wazee wa kamati za ufundi? Nifafanulie kabla sijafafanua kuwa hizi kamati ni kamati za kuloga ili ushindi upatikane.

GT unaamini kwenye uchawi?

Mkuu wa idara ya habari ni Ally Kamwe ulitaka atambuliwe kwa cheo gani pale jangwani tofauti ya mwanachama ambaye anakadi kama nilivyokuwa nayo Mimi?

Naona Hersi yupo sahihi hakung'ata maneno nyeupe iwe nyeupe na nyeusi iwe nyeusi, kumbuka tulikuwa tunahoji humu wakuu wa idara ya habari wapo wangapi? Na sasa tumepewa majibu tunahoji tena.
Hawaridhikagi hawa. Ukijibu hivi analalamika. Yaani mwandishi Ana SI unit ya majibu anayopaswa kutoa Hersi inaitwa porojo. Eti hakutakiwa kujibu hivi ange jibu vile.... Much know
 
Alitakiwa apige siasa pale azunguke zunguke pale,sio kila swali linataka jibu sahihi,alijywa ba uwezi wa kukijibu bila kuleta sintofahamu,mimi na wewe hatukujua kuwa manara ni mwanachama wa kawaida,hiyo ingebaki siri ya ofisi tu
Sasa kama kweli Haji Manara ni mwanachama wa kawaida ulitaka engeneer a "mislead" jamii kwa kuongea uongo.?

Tatizo lenu mmeshazoea ubabaishaji na propaganda za kijinga.

Hersi ndio Rais wa yanga,Yeye ndiye anajua kila kitu kuhusu klabu,Wewe uzako mabwe pande unaambiwa Haji ni mwanachama wa kawaida unanuna zako.!!
 
Sasa kama kweli Haji Manara ni mwanachama wa kawaida ulitaka engeneer a "mislead" jamii kwa kuongea uongo.?

Tatizo lenu mmeshazoea ubabaishaji na propaganda za kijinga.

Hersi ndio Rais wa yanga,Yeye ndiye anajua kila kitu kuhusu klabu,Wewe uzako mabwe pande unaambiwa Haji ni mwanachama wa kawaida unanuna zako.!!
Usichanganye propaganda na diplomacy,interview hujaiona
 
Hawaridhikagi hawa. Ukijibu hivi analalamika. Yaani mwandishi Ana SI unit ya majibu anayopaswa kutoa Hersi inaitwa porojo. Eti hakutakiwa kujibu hivi ange jibu vile.... Much know
Usichanganye diplomacy na porojo
 
Sasa kama kweli Haji Manara ni mwanachama wa kawaida ulitaka engeneer a "mislead" jamii kwa kuongea uongo.?

Tatizo lenu mmeshazoea ubabaishaji na propaganda za kijinga.

Hersi ndio Rais wa yanga,Yeye ndiye anajua kila kitu kuhusu klabu,Wewe uzako mabwe pande unaambiwa Haji ni mwanachama wa kawaida unanuna zako.!!
Swali fikirishi na sina uhakika kama ni moja ya angle ya hoja ya mleta mada. Kuwa mwanachama wa kawaida kunahusiana vipi na kuwa msemaji wa Yanga? Nafikiri ndiyo hoja ya mleta mada, atanikosoa kama nimekosea.
 
Hawaridhikagi hawa. Ukijibu hivi analalamika. Yaani mwandishi Ana SI unit ya majibu anayopaswa kutoa Hersi inaitwa porojo. Eti hakutakiwa kujibu hivi ange jibu vile.... Much know
Achana na hao wajinga wajinga, tukiwakanda ndo akili zitawakaa.
 
Huyo mzee Mzee Hassan Dalali ndiyo nani? Ana medali ya CAF? Timu yake inewahi kutwaa ubingwa ligi × 30? Kama bado nasi usimlinganishe na Rais wa vilabu barani Afrika! Hersi walau mlinganishe na marais wa Al ahly, mamelodi, Esperance nk. Ambao wana medali na vikombe vya CAF

Eti ukimfunga Simba/Yanga basi umemaliza 😃 Jinga kweli, Tengeneza timu yako alafu itoe kutoka nafasi ya 78 mpaka 11 kwa misimu miwili 😃
 
Huyo mzee Mzee Hassan Dalali ndiyo nani? Ana medali ya CAF? Timu yake inewahi kutwaa ubingwa ligi × 30? Kama bado nasi usimlinganishe na Rais wa vilabu barani Afrika! Hersi walau mlinganishe na marais wa Al ahly, mamelodi, Esperance nk. Ambao wana medali na vikombe vya CAF

Eti ukimfunga Simba/Yanga basi umemaliza 😃 Jinga kweli, Tengeneza timu yako alafu itoe kutoka nafasi ya 78 mpaka 11 kwa misimu miwili 😃
Imebidi nicheke kwanza,Dalali aliongoza Simba ikiwa haina udhamini wa kueleweka ujue tofauti na yanga ambayo haya wewe ukipewa uiongoze unaweza GSM anatoa fungu la maana
 
Imebidi nicheke kwanza,Dalali aliongoza Simba ikiwa haina udhamini wa kueleweka ujue tofauti na yanga ambayo haya wewe ukipewa uiongoze unaweza GSM anatoa fungu la maana
Ana medali ngapi za CAF?
 
Ana medali ngapi za CAF?
Medali haziji tu bila uwekezaji,lazima uwe na quality players,Dalali alifanikisha mabadiliko yaliyoipeleka Simba robo fainali miaka 5 kwa kujenga misingi ya kuvutis mwejezaji Mo awekeze
 
Medali haziji tu bila uwekezaji,lazima uwe na quality players,Dalali alifanikisha mabadiliko yaliyoipeleka Simba robo fainali miaka 5 kwa kujenga misingi ya kuvutis mwejezaji Mo awekeze
Robo fainali nyingi ndiyo nini? Ana medali ngapi za CAF?
 
Nijuavyo haji alisoma primary mnazi moja baadae kibaha sec then mzumbe high.,baada ya hapo ungaunga mwana
Mtu aliyepita shule hizo hawezi kuwa kama Haji, usifuate maneno yake anayojinasibu eti alimaliza form 4 na div ya 1.7 uongo ulee.
 
Usichanganye propaganda na diplomacy,interview hujaiona
Interview ilikuwa poa tu, na kama unataka tuamini uyasemayo, je, ulifuatilia ile interview aliyofanya kule South Africa? Na kama ulifuatilia basi ichanganue ile alafu utuambie Hersi ni muongeaji mzuri au siyo.
 
Back
Top Bottom