Garincha II
Senior Member
- Jul 21, 2023
- 185
- 213
Hawaridhikagi hawa. Ukijibu hivi analalamika. Yaani mwandishi Ana SI unit ya majibu anayopaswa kutoa Hersi inaitwa porojo. Eti hakutakiwa kujibu hivi ange jibu vile.... Much knowFafanua hapa ameiba faili la ushindi wa Simba kivipi mkuu?
Hapa unamaanisha Yanga inashinda Kutokana na Haji kuwa na namba za wazee wa kamati za ufundi? Nifafanulie kabla sijafafanua kuwa hizi kamati ni kamati za kuloga ili ushindi upatikane.
GT unaamini kwenye uchawi?
Mkuu wa idara ya habari ni Ally Kamwe ulitaka atambuliwe kwa cheo gani pale jangwani tofauti ya mwanachama ambaye anakadi kama nilivyokuwa nayo Mimi?
Naona Hersi yupo sahihi hakung'ata maneno nyeupe iwe nyeupe na nyeusi iwe nyeusi, kumbuka tulikuwa tunahoji humu wakuu wa idara ya habari wapo wangapi? Na sasa tumepewa majibu tunahoji tena.