Hersi Said usirudie kufanya exclusive interview, haupo smart

Imebidi nicheke kwanza,Dalali aliongoza Simba ikiwa haina udhamini wa kueleweka ujue tofauti na yanga ambayo haya wewe ukipewa uiongoze unaweza GSM anatoa fungu la maana
GSM alimleta nani? Sio Hersi aliikuta Yanga kwenye bakuli? Kiongozi gn wa simba kawahi kuikuta timu kwenye bakuli? Wacheni wivu.
 
GSM alimleta nani? Sio Hersi aliikuta Yanga kwenye bakuli? Kiongozi gn wa simba kawahi kuikuta timu kwenye bakuli? Wacheni wivu.
Dah kukuelekeza we ni ngumu sana maana unadhani hersi ndio kawaleta GSM??hujui kuwa hersi ni mfanyakazi wa GSM
 
aisee wewe ndio lumpen wa hali ya juu,yaani wewe ni kadugu kabisa,shubamiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…