Waswahili mnamatatizo sana sijuwi kuna mtu kakushiki bakora kusoma na kukubali
Au nimekugusa ndio maana unalalama
Lowasa aje asome mwenyewe aone kama sijamgusa
Kama ni kweli na unajiamin na ulicho post eb elezea character herufi E na maisha ya lowasa na usiache ata moja
Victor, vicent, violet, verynice, veronicawaitwa nani...
HERUFI M
Mwenye jina linaloanzia na herufi M ni mtu mwenye kujiamini sana, mchapakazi na hupata mafanikio. ni mtu mropokaji,mwenye haraka na mwepesi kukasirika.
Hapa hata mai waifu mwallu atanisaidia kusema si sahihi kabisaaa....
hahahaha hapo mwenye haraka inakuhusu umesahau ulivyotaka kupeleka posa kwa yule dada akakutosa lol
Si kweli,nimesoma maelezo ya herufi nyingi hapo si kweli labda umetafiti ktk ukoo wenu but IT IS WRONG,VERY WRONG hata erufi ya jina langu umechemka vibaya sijui umetoa wapi idea hizi
mm ukweli wa mungu jina langu huanzia na herufi S
mimi ni G yani sijakosewa