Herufi ya mwanzo ya jina lako inabeba tabia yako

Herufi ya mwanzo ya jina lako inabeba tabia yako

Acha Ushirikina.
Inamaana Jesus na Jacob walikuwa wapenda ngono?
Hii ni laana kwako,shauri yako,si ku google kila kitu na kuiga,wenzio hawana dini hao wanakupoteza
 
Mimi ni A na M. Ila nachapa kazi sana ila ninaaibu sana. Nadhani umechemka
 
Siyo vizuri kudhiaki viongozi kwa uzi wa kutunga na wa kipuuzi kama huu
 
A- mcheshi
B- mtembezi
C- mkosaji
D- msema kweli
E- mgomvi
F- mgombanishi
G- mcha mungu
H- mchapa kazi
I- mgumu kuelewa
J- anapenda ngono
K- m'bishi
L- anapenda kujua mambo
M- hodari
N- kicheche
O- mtulivu
P- mjanja
Q- mvivu
R- mzuri na mtundu chumbani
S- msaliti
T- anajua kunyenyekea
U- msafi
V- anapenda starehe
W- ana wivu
X- anapenda mapenzi
Z- mtanashati
haya niambie wewe uko herufi gani!!!


Ukibisha we jeuriii...au andamana

Mimi herufi yangu haipo
 
Ukisikia upuuzi basi ndo huu. Hv kuna mtu kweli jina lake linaanza na q?
 
A- mcheshi
B- mtembezi
C- mkosaji
D- msema kweli
E- mgomvi
F- mgombanishi
G- mcha mungu
H- mchapa kazi
I- mgumu kuelewa
J- anapenda ngono
K- m'bishi
L- anapenda kujua mambo
M- hodari
N- kicheche
O- mtulivu
P- mjanja
Q- mvivu
R- mzuri na mtundu chumbani
S- msaliti
T- anajua kunyenyekea
U- msafi
V- anapenda starehe
W- ana wivu
X- anapenda mapenzi
Z- mtanashati
haya niambie wewe uko herufi gani!!!


Ukibisha we jeuriii...au andamana

W - anawivu s - msaliti wilbrod slaa (anawivu msaliti) f - mgombanishi m- hodari (mgombanishi hodari)
 
Sifa ya J = mpenda ngono
Sifa ya M = hodari
Sifa ya K = mbishi

huo utafiti wako hauna ukweli na wala hauendani na uhalisia мкυυ
 
Back
Top Bottom