Capital
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,468
- 1,063
Mleta uzi aonesha hana kazi ya kufanya, haya yote aliyoandika ni upu.uzi mtupu, hayana ushahidi wa kisayansi au wa kiroho. Hivi watu wengine kufaham tu kutumia computa ni shiida, hawana cha kufikiria zaidi ya haya.. Nchi yangu Tanzania nakulilia sanaaa..