Herufi ya mwanzo ya jina lako inabeba tabia yako

Herufi ya mwanzo ya jina lako inabeba tabia yako

Mkuu hizi kitu naona huwa hazina connection yoyote maana hao wanaojiita wataalam hawana uwezo Wa kutaja tabia moja kuu ya watu Wa kundi LA herufi Fulani...huwa wanaishia kutaja lundo la tabia ambalo wanauhakika kila mtu lazima kuna tabia itamgusa....all in all havina ukweli wowote.

Na kama hakuna connection = uongo!

Nimavyoelewa mimi chochote kisicho na sababu ni uongo either kinaweza kutokea by chance! Na chance haiwezi kutokea kwa wote. Maana nyota za kweli nizile tu zinazozingatia tarehe ya kuzaliwa. maana zile connection zake ziko wazi. if huamini nipe tarehe yako ya kuzaliwa na saa uliyo zaliwa nitakuekea tabia zako, udhaifu wako na ubora wako pamoja na sababu kwanini uko hivyo.

UPDATE........

wakuu kutokana na pm ninazopokea kutokana na nilichokisema hapo, nimeona bora nirahisishe kwa kuwaekea link hapa ili kila alievutiwa aweze kuingia na kuweka details zake ambazo itakua ni siri kwake.

Na humo ndio utagundua herufi ya jina au jina kamili halina athari yoyote maana ukiingi humo unaweza kueka jina lolote bila kuathiri chochote, na inashauriwa usiandike real name kwa kuepusha mtu atakae gugo jina lako asiweze kuona hiyo document.

VINAVYOHITAJIKA:


jinsia.

tarehe ya kuzaliwa.

saa na dakika uliozaliwa eg; 07:00, 07:15, 07:30 or 07:45. ubainishe ni am or pm vile vile unaweza kutumia masaa 24 eg 13:00.
kama hujui ulizaliwa saa ngapi utaweka 'time unknown'

mkoa na nchi uliozaliwa. (ukiweka tu mkoa nchi itjiweka wenyewe na ka kuna nchi zaidi ya moja yenye mkoa huo basi utaona options.
...
OK twende kazzz...

http://astro.cafeastrology.com/cgi-bin/astro/natal
 
Na kama hakuna connection = uongo!

Nimavyoelewa mimi chochote kisicho na sababu ni uongo either kinaweza kutokea by chance! Na chance haiwezi kutokea kwa wote. Maana nyota za kweli nizile tu zinazozingatia tarehe ya kuzaliwa. maana zile connection zake ziko wazi. if huamini nipe tarehe yako ya kuzaliwa na saa uliyo zaliwa nitakuekea tabia zako, udhaifu wako na ubora wako pamoja na sababu kwanini uko hivyo.

Naku-PM Mkuu..ikiwa kweli ntakwambia na ikiwa kinyume chake pia ntakwambia
 
Tabia zao ni hizi hapa....

Wengi ni wapole na wanaaminika na jamii, wanaongea kwa ustarabu sana, wanamipango mingi mno ambayo mingine haitekelezeki, wengine wana asili ya utapeli maana wakiaminiwa huwa hawaaminiki. Hawana msimamo kila atakalo shauriwa ni rahisi kulifuata na akaacha alilolipanga.

Kama huamini suala la utapeli au ujanja ujanja nahakika katika thread hii hapata kosekana angalau watu watatu ambao wameingizwa mjini na watu hawa, tabia nyingine ni watu wa matumizi sana ya fedha kuwa na milioni mchana afu jioni akawa hana kitu ni jambo la kawaida... lakini sifa ingine kwao ni majasiri na wanajiamini kupita kiasi, hawaogopi vitu kirahisi.

Pia pamoja na ujanja ujanja wao na utapeli wa hapa na pale watu hawa wanahuruma sana ya kusaidia wenzao bila kujali yeye anaathirika vipi, kundi hili la herufi A, linafanana kidogo na herufi "M" kwa kuwa wana share nyota moja.

Ndg mtabiri.. nyota yao ni ipi?
 
Yote umepatia ila ilo la utapeli na kutokuwa na msimamo hapana.

Haiwezekani apatie yote eti ila la utapeli sio!!!
kama amepatia maana yake yote yako hivo labda wewe mwenyewe ndo hujui kama ni tapeli lakini wahanga wako wangekuwa wanasoma hapa wangekubaini!!
 
Haiwezekani apatie yote eti ila la utapeli sio!!!
kama amepatia maana yake yote yako hivo labda wewe mwenyewe ndo hujui kama ni tapeli lakini wahanga wako wangekuwa wanasoma hapa wangekubaini!!

Mkuu mbona povu linakumwagika????? Nimaoni yangu kutokana na uzoefu wangu hata hivyo jina langu halianzi na herufi a acha kuparamia.
 
Agnes masogange, Anna mkapa, Augustine lyatonga mrema, Ally Kessy, Ally Shamhuna, Anna Abdala, Ally Kiba. and the list goes on..... je wote hao ni matapeli!?
 
Back
Top Bottom