Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
- #41
Wako poa SanaWanaoanda na Herufi D vipi mkuu[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wako poa SanaWanaoanda na Herufi D vipi mkuu[emoji4]
[emoji18]Wako poa Sana
[emoji38][emoji38]sio kiviiiileeeNimeolewa ila sio kiviiile
[emoji2960]E wahuni kinyama.
Wanadosoa kimya kimya sana.
Ila wako romantic hao [emoji2957]
Kwa kutambua wale wa herufi “A” umetuinua kinamna flani 😂😂😂 ni kweli hujakosea kabisaSijui ni coincidence au lah ila nimenotice kuna watu huwa naelewana nao sana. Sijawai kudate wanaume wengi seriously ila sometimes kuna ile unajoke tu haupo serious wanawake wenzangu watanielewa.
Ila nimenotice urafiki wangu na watu wenye herufi A kina Alex, etc huwa amaizing sana sana pia herufi G .g nilishawai kusettle kwa miaka kadhaa hatukufika final lakini ma g nao ni watu amaizing sana.
Herufi E wababaishi sana wapenda chini kimya kimya japo wengine wana jina na mbinguni kabisa ila naombeni uzoefu wa wengine kuhusu A na G kuna Jambo nataka kufanya.
Umemgusa chalii yangu mmoko ni silent killer kinyamaa🤣 hakuna mtu mstaarabu kama yeye mbele ya hadhara ila ni hapo chini sasa...anazidusua ile ile sema kimya kimya sana!E wahuni kinyama.
Wanadosoa kimya kimya sana.
Ila wako romantic hao 🤪
Umekanyaga waya aisee😂😂😂Wahuni sana ni kina Evance, Erick, Edger.
Ni huzuniiii 😕😕😕
yake unaonjeka sioNimeolewa ila sio kiviiile
Wewe umeolewa
Sijui ni coincidence au lah ila nimenotice kuna watu huwa naelewana nao sana. Sijawai kudate wanaume wengi seriously ila sometimes kuna ile unajoke tu haupo serious wanawake wenzangu watanielewa.
Ila nimenotice urafiki wangu na watu wenye herufi A kina Alex, etc huwa amaizing sana sana pia herufi G .g nilishawai kusettle kwa miaka kadhaa hatukufika final lakini ma g nao ni watu amaizing sana.
Herufi E wababaishi sana wapenda chini kimya kimya japo wengine wana jina na mbinguni kabisa ila naombeni uzoefu wa wengine kuhusu A na G kuna Jambo nataka kufanya.
Kama ni wewe useme tu nikuueee[emoji23][emoji23] yaan nitakuua vibayaaa...Binafsi niko humble na romantic sana...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]E wahuni kinyama.
Wanadosoa kimya kimya sana.
Ila wako romantic hao [emoji2957]
Wanachezea jina la yesuHa ha ha ha yaan huyu EMMANUEL huyu ni ana ujamaa na lucifer kabisaa... hafananii na jina lake. Ni tukio after tukio. Emma mamboz? Bado hujaweka ID humu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222]
Yaan hapanaaa... kwanza makorofii balaaa. Kupita maelezoooWanachezea jina la yesu
Nipe mechi ya kirafiki basi rafiki kabla mileage haijasogea sana.Na kweli Acha wacheze tu waonjane.
Ila niwakumbushe tu Wanawake sisi mileage zinahesabika.
Hawa wenzetu wao wanaboresha tu mechi wanakuwa mafundi balaa wa kupeleka moto. Sisi tunabaki used.
Ni hayo tu.