Herufi za mwanzo za majina na mahusiano kuwa mazuri

Kwa kutambua wale wa herufi “A” umetuinua kinamna flani 😂😂😂 ni kweli hujakosea kabisa
 
E wahuni kinyama.
Wanadosoa kimya kimya sana.
Ila wako romantic hao 🤪
Umemgusa chalii yangu mmoko ni silent killer kinyamaa🤣 hakuna mtu mstaarabu kama yeye mbele ya hadhara ila ni hapo chini sasa...anazidusua ile ile sema kimya kimya sana!
 

Ha ha ha ha yaan huyu EMMANUEL huyu ni ana ujamaa na lucifer kabisaa... hafananii na jina lake. Ni tukio after tukio. Emma mamboz? Bado hujaweka ID humu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222]
 
Ha ha ha ha yaan huyu EMMANUEL huyu ni ana ujamaa na lucifer kabisaa... hafananii na jina lake. Ni tukio after tukio. Emma mamboz? Bado hujaweka ID humu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222]
Wanachezea jina la yesu
 
Na kweli Acha wacheze tu waonjane.

Ila niwakumbushe tu Wanawake sisi mileage zinahesabika.

Hawa wenzetu wao wanaboresha tu mechi wanakuwa mafundi balaa wa kupeleka moto. Sisi tunabaki used.

Ni hayo tu.
Nipe mechi ya kirafiki basi rafiki kabla mileage haijasogea sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…