Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
Waizi nyie.Sisi wenye initial T je?
Nmekutag uone Mtoa mada asivyokutakia mema[emoji18]Umeamua kunisagia kunguni mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha mkuu siyo kweli...Waizi nyie.
Hahaha..........π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Vipi kuhusu F mkuu? Hebu sema chochote na roho yangu itulie.
Aku.Nipe mechi ya kirafiki basi rafiki kabla mileage haijasogea sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Subiri kwanza.
Hapo pa ku joke haupo serious na mahusiano naomba kuuliza.
Unatoa hautoi?
Kama unaliwa jamani si serious hapo ama mnacheza Cha Baba na Mama ukubwani?
Daaaaah.Na kweli Acha wacheze tu waonjane.
Ila niwakumbushe tu Wanawake sisi mileage zinahesabika.
Hawa wenzetu wao wanaboresha tu mechi wanakuwa mafundi balaa wa kupeleka moto. Sisi tunabaki used.
Ni hayo tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]E wahuni kinyama.
Wanadosoa kimya kimya sana.
Ila wako romantic hao [emoji2957]
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimeolewa ila sio kiviiile
Haya bana ninyime tu hamna shida. πAku.
Hiyo rule ya friends with benefits doesn't apply to me.
Umepita nao wangapi?E wahuni kinyama.
Wanadosoa kimya kimya sana.
Ila wako romantic hao π€ͺ
Kuuana tena jamani π π πKama ni wewe useme tu nikuueee[emoji23][emoji23] yaan nitakuua vibayaaa...
Dah kuuumbe!Nimeolewa ila sio kiviiile
Nyie ni nyookoo sanaa. Hamfaiii. Too fakeKuuana tena jamani [emoji23] [emoji23] [emoji23]
A for AndunjeSijui ni coincidence au lah ila nimenotice kuna watu huwa naelewana nao sana. Sijawai kudate wanaume wengi seriously ila sometimes kuna ile unajoke tu haupo serious wanawake wenzangu watanielewa.
Ila nimenotice urafiki wangu na watu wenye herufi A kina Alex, etc huwa amaizing sana sana pia herufi G .g nilishawai kusettle kwa miaka kadhaa hatukufika final lakini ma g nao ni watu amaizing sana.
Herufi E wababaishi sana wapenda chini kimya kimya japo wengine wana jina na mbinguni kabisa ila naombeni uzoefu wa wengine kuhusu A na G kuna Jambo nataka kufanya.
Hahahaha si ajabu kuna mmoja tu ndio anatuharibia mkuu.Nyie ni nyookoo sanaa. Hamfaiii. Too fake