Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh 20,000x 30=600,000/, x 12=7,200,000=(kwa mwaka) ,na bei yake ni 5000,000/
baada ya miezi 6 tu bajaj hio haifai ni ya kutupa.....biashara ya bajaj,taxi,daladala ni sawa sawa na kuweka hela yako 5M,12M,30M RESPECTIVELY na kutumia kidogokidogo hadi inaisha....
kwa hiyo bajaji haiwezi kukaa kwa miezi6
hapana inazidi hata miezi 18 lakini kuanzia miezi sita headache zinaanza mara hesabu haitimii mara leo movu hiki kesho kile
baada ya miezi 6 tu bajaj hio haifai ni ya kutupa.....biashara ya bajaj,taxi,daladala ni sawa sawa na kuweka hela yako 5M,12M,30M RESPECTIVELY na kutumia kidogokidogo hadi inaisha....
baada ya miezi 6 tu bajaj hio haifai ni ya kutupa.....biashara ya bajaj,taxi,daladala ni sawa sawa na kuweka hela yako 5M,12M,30M RESPECTIVELY na kutumia kidogokidogo hadi inaisha....
mkuu nilichukua mkopo wa fuso NBC sitosahau...ila ilinifisilisi miezi sita mingi gari hoi na hela siioni na marejesho miezi 36. hapo nimerejesha miezi sita gari haifai.
rejesho 1,300,000 /=
don't try this!!!
baada ya miezi 6 tu bajaj hio haifai ni ya kutupa.....biashara ya bajaj,taxi,daladala ni sawa sawa na kuweka hela yako 5M,12M,30M RESPECTIVELY na kutumia kidogokidogo hadi inaisha....
mkuu acha upotoshaji. mimi nina bajaj ina mwaka na nusu sasa na bado iko bomba sana. cha msingi ni matunzo tu. hakikisha umemkabidhi mtu mzuri na service unafatilia kwa makini kila baada ya wiki 2 au 3. kiukweli ni biashara isiyokuwa na stress kivile. mie hela yake imesharudisha sasa nakula faida tu.
mkuu acha upotoshaji. mimi nina bajaj ina mwaka na nusu sasa na bado iko bomba sana. cha msingi ni matunzo tu. hakikisha umemkabidhi mtu mzuri na service unafatilia kwa makini kila baada ya wiki 2 au 3. kiukweli ni biashara isiyokuwa na stress kivile. mie hela yake imesharudisha sasa nakula faida tu.
mchine yoyote hile inaitaji usimamizi mzuri kama utanunua bajaji original ina kwenda service on tym mbona utafurahi inatakiwa usimamizi tu
kuwa na bajaj afadhali uwe na kibanda cha TIGO PESA,M-PESA etc...unapata hela nyingi na less stress.
baada ya miezi 6 tu bajaj hio haifai ni ya kutupa.....biashara ya bajaj,taxi,daladala ni sawa sawa na kuweka hela yako 5M,12M,30M RESPECTIVELY na kutumia kidogokidogo hadi inaisha....
ilo fuso lilikua lina fanya kazi ipu hasa
mizigo,don't try