xfactor
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,511
- 1,289
Mkuu ngoja nikupe experience moja niliyojifunza mtaani kwangu kutoka kwa kijana aliyekuwa ameajiriwa kama muuza chips kwenye bar ya mtaani.
Huyu kijana yeye alijichanga akanunua bodaboda then
akamkabidhi mtu kwa makubaliano kwamba afanyie biashara na ikishalipa hela ya kununualia na faida juu anamkabidhi inakuwa yake.Huyu kijana kwa sasa yupo mbali sababu kila baada ya miezi 8 ananunua bodaboda mpya na kuwapa watu kwa makubaliano hayo
Alifanya hyo sababu anajua ukimwambia dereva kuwa itakuwa yako baadae ataitunza na kuhidumia ipasavyo,pia inampa motisha ya kufanya kazi kwa bidii ili hela irudi na faida ipatikane fasta aweze kuimiliki bodaboda,ndio maana hata mwaka haufiki hela inarudi na faida juu hivyo ananunua bodaboda nyingine.
Huyu kijana yeye alijichanga akanunua bodaboda then
akamkabidhi mtu kwa makubaliano kwamba afanyie biashara na ikishalipa hela ya kununualia na faida juu anamkabidhi inakuwa yake.Huyu kijana kwa sasa yupo mbali sababu kila baada ya miezi 8 ananunua bodaboda mpya na kuwapa watu kwa makubaliano hayo
Alifanya hyo sababu anajua ukimwambia dereva kuwa itakuwa yako baadae ataitunza na kuhidumia ipasavyo,pia inampa motisha ya kufanya kazi kwa bidii ili hela irudi na faida ipatikane fasta aweze kuimiliki bodaboda,ndio maana hata mwaka haufiki hela inarudi na faida juu hivyo ananunua bodaboda nyingine.