Acha ujinga bwana. Polisi wenyewe ndio walisema wanamjua lakini hawatamtaja kwa sasa. Sasa unachobweka hapa ni nini hasa, tatizo la afya ya akili?Sasa unacholalamikia ni nini??
Polisi si bado wanaendelea na uchunguzi wamemaliza kwani? Na kama unajua polisi wanamjua na hawataki kumtaja kwa nini wewe usimtaje basi humu..?? Btw kwani kama ni kumjua unadhani inashindikana? Wapo wapangaji walikuwa pale na wanafahamika, mafundi waliokuwa wanafanya kazi pale wanafahamika, majirani n.k wote hao unataka kusema hawamjui mmiliki..? Hayo mambo ya sijui polisi wanamjua hawataki kumtaja hizo ni stori za vijiweni tu!! Kumjua mmiliki haihitaji polisi wautangazie umma, wewe sema hapa mmililiki ni nani huyo unayesema eti polisi wanamficha unless, unachosema ni umbeya tu!!!!
Sawa kabisa. Nachukia sana uzembe wa viongozi wa serikali na wanasiasa na utepetefu wa polisi, navichukia sanaNimekukubali sana mleta mada hana hajualo ni chuki wivu na husda vina mue ndesha
Ningeishitaki serikali big time! Na obviously, nisingekuwa nawashabikia hawa viongozi, kitu ambacho sifanyi anyway, japo sikuwa na ndugu yangu pale. Nachukia uzembe wa aina yeyote ile, na ujinga usiotibikaKwa mfano wewe ndio ungekuwa umefiwa na ndugu yako katika hilo jengo ungefanya nini?
Kwenye heading, hivi kati ya mipango miji na polisi auTBA ni nani mwenye jukumu la kumtaja mmiliki wa jengo?Ndivyo watawala wa chama tawala wanavyoendesha nchi hii. Makosa yanayofanywa na watu wao huwa kila jitihada itafanywa kuyafunika. Na hawaoni aibu juu ya hili, huwa wanasema waziwazi ukiwa mtu wao watakulinda. Kwa maneno mengine kuwa mtu wao kunakufanya uwe juu ya sheria.
Na kibaya zaidi, Polisi wanajua hilo, kwamba wakitaka kazi zao ziwe salama, basi waelewe kwamba watu wa chama tawala wako juu ya sheria. Hata wakiua, wakibaka, wakisafirisha wageni haramu, wakikutwa na madawa ya kulevya au nyara za serikali, wakifanya maandamano bila kibali, wakifanya lolote lile, hawapaswi kubugudhiwa.
Na Polisi wameambiwa tukio la kihalifu linapofanywa na mtu wa chama tawala basi watalitolea maelezo ambayo hayatakichafua chama tawala, hata kama inabidi waseme uongo. Kifo cha risasi au kupigwa kitabadilika kuwa kifo cha shinikizo la damu, nk.
Ndio maana basi, japo maneno makali kuhusu mmiliki wa jengo la Kariakoo yaliyotolewa na waziri mkuu, polisi walipowaambia watawala mmiliki wa jengo ni mmoja wenu katika chama, waliamriwa wakae kimya hadi uchaguzi wa serikali za mitaa upite. Jitihada hata zilifanyika kujaribu kubadilisha jina la mmiliki, na huenda zimefanikiwa tayari.
Hii ndio Tanzania yetu. Au Tanzania yao?
Vinafanyaga Sasa?Huna chochote unachojua kuhusu mmililik wa hilo jengo, zaidi ni habari za mtaani huko hata kama kweli mmiliki ni mwanachama wa chama tawala kwani ni dhambi?
Kiufupi umeandika nadharia eti umiliki unabadilishwa! Ungekuwa unajua mmiliki halali ambaye anafanya hizo jotihada za kubadili umiliki ungemtaja humu jamvini!!! Ungekuwa unajua taarifa za uhakika ungezianika hapa, huna lolote unalojua!!! Hili ni jukwaa huru ambalo uozo wowote unaweza kuuanika wazi!!!!
Otherwise acha jeshi la polisi na vyombo vinavyofanya uchunguzi vifanye kazi yao!!!!
Don't trust anyoneNdivyo watawala wa chama tawala wanavyoendesha nchi hii. Makosa yanayofanywa na watu wao huwa kila jitihada itafanywa kuyafunika. Na hawaoni aibu juu ya hili, huwa wanasema waziwazi ukiwa mtu wao watakulinda. Kwa maneno mengine kuwa mtu wao kunakufanya uwe juu ya sheria.
Na kibaya zaidi, Polisi wanajua hilo, kwamba wakitaka kazi zao ziwe salama, basi waelewe kwamba watu wa chama tawala wako juu ya sheria. Hata wakiua, wakibaka, wakisafirisha wageni haramu, wakikutwa na madawa ya kulevya au nyara za serikali, wakifanya maandamano bila kibali, wakifanya lolote lile, hawapaswi kubugudhiwa.
Na Polisi wameambiwa tukio la kihalifu linapofanywa na mtu wa chama tawala basi watalitolea maelezo ambayo hayatakichafua chama tawala, hata kama inabidi waseme uongo. Kifo cha risasi au kupigwa kitabadilika kuwa kifo cha shinikizo la damu, nk.
Ndio maana basi, japo maneno makali kuhusu mmiliki wa jengo la Kariakoo yaliyotolewa na waziri mkuu, polisi walipowaambia watawala mmiliki wa jengo ni mmoja wenu katika chama, waliamriwa wakae kimya hadi uchaguzi wa serikali za mitaa upite. Jitihada hata zilifanyika kujaribu kubadilisha jina la mmiliki, na huenda zimefanikiwa tayari.
Hii ndio Tanzania yetu. Au Tanzania yao?
Mwenye ujinga ni nani kama siyo wewe kilaza?Acha ujinga bwana. Polisi wenyewe ndio walisema wanamjua lakini hawatamtaja kwa sasa. Sasa unachobweka hapa ni nini hasa, tatizo la afya ya akili?
Chakula ya Funza tu hapo baadaye !😳Hakuna anayeishi milele mwishowe wote ni mifupa tu
Msije mkampigaNdivyo watawala wa chama tawala wanavyoendesha nchi hii. Makosa yanayofanywa na watu wao huwa kila jitihada itafanywa kuyafunika. Na hawaoni aibu juu ya hili, huwa wanasema waziwazi ukiwa mtu wao watakulinda. Kwa maneno mengine kuwa mtu wao kunakufanya uwe juu ya sheria.
Na kibaya zaidi, Polisi wanajua hilo, kwamba wakitaka kazi zao ziwe salama, basi waelewe kwamba watu wa chama tawala wako juu ya sheria. Hata wakiua, wakibaka, wakisafirisha wageni haramu, wakikutwa na madawa ya kulevya au nyara za serikali, wakifanya maandamano bila kibali, wakifanya lolote lile, hawapaswi kubugudhiwa.
Na Polisi wameambiwa tukio la kihalifu linapofanywa na mtu wa chama tawala basi watalitolea maelezo ambayo hayatakichafua chama tawala, hata kama inabidi waseme uongo. Kifo cha risasi au kupigwa kitabadilika kuwa kifo cha shinikizo la damu, nk.
Ndio maana basi, japo maneno makali kuhusu mmiliki wa jengo la Kariakoo yaliyotolewa na waziri mkuu, polisi walipowaambia watawala mmiliki wa jengo ni mmoja wenu katika chama, waliamriwa wakae kimya hadi uchaguzi wa serikali za mitaa upite. Jitihada hata zilifanyika kujaribu kubadilisha jina la mmiliki, na huenda zimefanikiwa tayari.
Hii ndio Tanzania yetu. Au Tanzania yao?
Siku vyombo vya usalama vikiweza kuchora mstari kati ya chama na serikali apo mwanga unaweza onekanaNdivyo watawala wa chama tawala wanavyoendesha nchi hii. Makosa yanayofanywa na watu wao huwa kila jitihada itafanywa kuyafunika. Na hawaoni aibu juu ya hili, huwa wanasema waziwazi ukiwa mtu wao watakulinda. Kwa maneno mengine kuwa mtu wao kunakufanya uwe juu ya sheria.
Na kibaya zaidi, Polisi wanajua hilo, kwamba wakitaka kazi zao ziwe salama, basi waelewe kwamba watu wa chama tawala wako juu ya sheria. Hata wakiua, wakibaka, wakisafirisha wageni haramu, wakikutwa na madawa ya kulevya au nyara za serikali, wakifanya maandamano bila kibali, wakifanya lolote lile, hawapaswi kubugudhiwa.
Na Polisi wameambiwa tukio la kihalifu linapofanywa na mtu wa chama tawala basi watalitolea maelezo ambayo hayatakichafua chama tawala, hata kama inabidi waseme uongo. Kifo cha risasi au kupigwa kitabadilika kuwa kifo cha shinikizo la damu, nk.
Ndio maana basi, japo maneno makali kuhusu mmiliki wa jengo la Kariakoo yaliyotolewa na waziri mkuu, polisi walipowaambia watawala mmiliki wa jengo ni mmoja wenu katika chama, waliamriwa wakae kimya hadi uchaguzi wa serikali za mitaa upite. Jitihada hata zilifanyika kujaribu kubadilisha jina la mmiliki, na huenda zimefanikiwa tayari.
Hii ndio Tanzania yetu. Au Tanzania yao?
Pamoja na vizazi vyao, uovu wao mbegu ya mauti ipandwayo. Ni swala la mda tu kuotaAcha watuuwe nao watakufa
Unamjua?Ndivyo watawala wa chama tawala wanavyoendesha nchi hii. Makosa yanayofanywa na watu wao huwa kila jitihada itafanywa kuyafunika. Na hawaoni aibu juu ya hili, huwa wanasema waziwazi ukiwa mtu wao watakulinda. Kwa maneno mengine kuwa mtu wao kunakufanya uwe juu ya sheria.
Na kibaya zaidi, Polisi wanajua hilo, kwamba wakitaka kazi zao ziwe salama, basi waelewe kwamba watu wa chama tawala wako juu ya sheria. Hata wakiua, wakibaka, wakisafirisha wageni haramu, wakikutwa na madawa ya kulevya au nyara za serikali, wakifanya maandamano bila kibali, wakifanya lolote lile, hawapaswi kubugudhiwa.
Na Polisi wameambiwa tukio la kihalifu linapofanywa na mtu wa chama tawala basi watalitolea maelezo ambayo hayatakichafua chama tawala, hata kama inabidi waseme uongo. Kifo cha risasi au kupigwa kitabadilika kuwa kifo cha shinikizo la damu, nk.
Ndio maana basi, japo maneno makali kuhusu mmiliki wa jengo la Kariakoo yaliyotolewa na waziri mkuu, polisi walipowaambia watawala mmiliki wa jengo ni mmoja wenu katika chama, waliamriwa wakae kimya hadi uchaguzi wa serikali za mitaa upite. Jitihada hata zilifanyika kujaribu kubadilisha jina la mmiliki, na huenda zimefanikiwa tayari.
Hii ndio Tanzania yetu. Au Tanzania yao?
Wewe "mwenye lolote", mbona ni mbovu zaidi ya huyo unaye msema?Huna chochote unachojua kuhusu mmililik wa hilo jengo, zaidi ni habari za mtaani huko hata kama kweli mmiliki ni mwanachama wa chama tawala kwani ni dhambi?
Kiufupi umeandika nadharia eti umiliki unabadilishwa! Ungekuwa unajua mmiliki halali ambaye anafanya hizo jotihada za kubadili umiliki ungemtaja humu jamvini!!! Ungekuwa unajua taarifa za uhakika ungezianika hapa, huna lolote unalojua!!! Hili ni jukwaa huru ambalo uozo wowote unaweza kuuanika wazi!!!!
Otherwise acha jeshi la polisi na vyombo vinavyofanya uchunguzi vifanye kazi yao!!!!
Tueleze wewe kama "ni dhambi" kwa hiyo CCM na serikali yake kumtaja huyo mtu ni dhambi.Huna chochote unachojua kuhusu mmililik wa hilo jengo, zaidi ni habari za mtaani huko hata kama kweli mmiliki ni mwanachama wa chama tawala kwani ni dhambi?
Nimesema nina lolote wapi sasa kama wewe si kilaza! Akili yako ina shida kubwa!Wewe "mwenye lolote", mbona ni mbovu zaidi ya huyo unaye msema?
Wewe unacho juwa ni kipi, ili utueleze hapa na tukubaliane na wewe badala ya huyo "asiye juwa lolote"
Huu ubabaishaji ulio enea kila mahali, ndani ya CCM, hivi kweli unadhani watu hawauoni na kuuelewa; kiasi kwamba wewe ndiye uchukue jukumu la kukana ulaghai ulio wazi?
Usinge kuwa na lolote usinge andika hivyo ulivyo andika. Hii tu inaonyesha upungufu mkubwa wa akili ulio nao.Nimesema nina lolote wapi sasa kama wewe si kilaza! Akili yako ina shida kubwa!