Hesabu ndogo sana; Kwanini Serikali iliwaamuru Polisi wasimtaje mmiliki wa jengo lililoporomoka Kariakoo hadi uchaguzi wa serikali za mitaa uishe

Hesabu ndogo sana; Kwanini Serikali iliwaamuru Polisi wasimtaje mmiliki wa jengo lililoporomoka Kariakoo hadi uchaguzi wa serikali za mitaa uishe

Sasa unacholalamikia ni nini??
Polisi si bado wanaendelea na uchunguzi wamemaliza kwani? Na kama unajua polisi wanamjua na hawataki kumtaja kwa nini wewe usimtaje basi humu..?? Btw kwani kama ni kumjua unadhani inashindikana? Wapo wapangaji walikuwa pale na wanafahamika, mafundi waliokuwa wanafanya kazi pale wanafahamika, majirani n.k wote hao unataka kusema hawamjui mmiliki..? Hayo mambo ya sijui polisi wanamjua hawataki kumtaja hizo ni stori za vijiweni tu!! Kumjua mmiliki haihitaji polisi wautangazie umma, wewe sema hapa mmililiki ni nani huyo unayesema eti polisi wanamficha unless, unachosema ni umbeya tu!!!!
Acha ujinga bwana. Polisi wenyewe ndio walisema wanamjua lakini hawatamtaja kwa sasa. Sasa unachobweka hapa ni nini hasa, tatizo la afya ya akili?
 
Kwa mfano wewe ndio ungekuwa umefiwa na ndugu yako katika hilo jengo ungefanya nini?
Ningeishitaki serikali big time! Na obviously, nisingekuwa nawashabikia hawa viongozi, kitu ambacho sifanyi anyway, japo sikuwa na ndugu yangu pale. Nachukia uzembe wa aina yeyote ile, na ujinga usiotibika
 
Wakimtaja aibu watapata wao
Vibali vya ujenzi walitoa wao
Wahandishi waliojenga ni wao
Uzembe ni wao
Uzembe wa kuokoa ni wao
Utumiqji wa vifaa duni yaani unafukua gorofa 1 week 2
 
Kwe
Ndivyo watawala wa chama tawala wanavyoendesha nchi hii. Makosa yanayofanywa na watu wao huwa kila jitihada itafanywa kuyafunika. Na hawaoni aibu juu ya hili, huwa wanasema waziwazi ukiwa mtu wao watakulinda. Kwa maneno mengine kuwa mtu wao kunakufanya uwe juu ya sheria.

Na kibaya zaidi, Polisi wanajua hilo, kwamba wakitaka kazi zao ziwe salama, basi waelewe kwamba watu wa chama tawala wako juu ya sheria. Hata wakiua, wakibaka, wakisafirisha wageni haramu, wakikutwa na madawa ya kulevya au nyara za serikali, wakifanya maandamano bila kibali, wakifanya lolote lile, hawapaswi kubugudhiwa.

Na Polisi wameambiwa tukio la kihalifu linapofanywa na mtu wa chama tawala basi watalitolea maelezo ambayo hayatakichafua chama tawala, hata kama inabidi waseme uongo. Kifo cha risasi au kupigwa kitabadilika kuwa kifo cha shinikizo la damu, nk.

Ndio maana basi, japo maneno makali kuhusu mmiliki wa jengo la Kariakoo yaliyotolewa na waziri mkuu, polisi walipowaambia watawala mmiliki wa jengo ni mmoja wenu katika chama, waliamriwa wakae kimya hadi uchaguzi wa serikali za mitaa upite. Jitihada hata zilifanyika kujaribu kubadilisha jina la mmiliki, na huenda zimefanikiwa tayari.

Hii ndio Tanzania yetu. Au Tanzania yao?
Kwenye heading, hivi kati ya mipango miji na polisi auTBA ni nani mwenye jukumu la kumtaja mmiliki wa jengo?
 
Huna chochote unachojua kuhusu mmililik wa hilo jengo, zaidi ni habari za mtaani huko hata kama kweli mmiliki ni mwanachama wa chama tawala kwani ni dhambi?
Kiufupi umeandika nadharia eti umiliki unabadilishwa! Ungekuwa unajua mmiliki halali ambaye anafanya hizo jotihada za kubadili umiliki ungemtaja humu jamvini!!! Ungekuwa unajua taarifa za uhakika ungezianika hapa, huna lolote unalojua!!! Hili ni jukwaa huru ambalo uozo wowote unaweza kuuanika wazi!!!!
Otherwise acha jeshi la polisi na vyombo vinavyofanya uchunguzi vifanye kazi yao!!!!
Vinafanyaga Sasa?
 
Ndivyo watawala wa chama tawala wanavyoendesha nchi hii. Makosa yanayofanywa na watu wao huwa kila jitihada itafanywa kuyafunika. Na hawaoni aibu juu ya hili, huwa wanasema waziwazi ukiwa mtu wao watakulinda. Kwa maneno mengine kuwa mtu wao kunakufanya uwe juu ya sheria.

Na kibaya zaidi, Polisi wanajua hilo, kwamba wakitaka kazi zao ziwe salama, basi waelewe kwamba watu wa chama tawala wako juu ya sheria. Hata wakiua, wakibaka, wakisafirisha wageni haramu, wakikutwa na madawa ya kulevya au nyara za serikali, wakifanya maandamano bila kibali, wakifanya lolote lile, hawapaswi kubugudhiwa.

Na Polisi wameambiwa tukio la kihalifu linapofanywa na mtu wa chama tawala basi watalitolea maelezo ambayo hayatakichafua chama tawala, hata kama inabidi waseme uongo. Kifo cha risasi au kupigwa kitabadilika kuwa kifo cha shinikizo la damu, nk.

Ndio maana basi, japo maneno makali kuhusu mmiliki wa jengo la Kariakoo yaliyotolewa na waziri mkuu, polisi walipowaambia watawala mmiliki wa jengo ni mmoja wenu katika chama, waliamriwa wakae kimya hadi uchaguzi wa serikali za mitaa upite. Jitihada hata zilifanyika kujaribu kubadilisha jina la mmiliki, na huenda zimefanikiwa tayari.

Hii ndio Tanzania yetu. Au Tanzania yao?
Don't trust anyone
 
Acha ujinga bwana. Polisi wenyewe ndio walisema wanamjua lakini hawatamtaja kwa sasa. Sasa unachobweka hapa ni nini hasa, tatizo la afya ya akili?
Mwenye ujinga ni nani kama siyo wewe kilaza?
Kama polisi walishasema wanamjua ila hawatamtaja kwa sasa unachoshupaza shingo ni nini?
Tulia bwana mdogo, hao polisi wafanye kazi yao! Usijifanye mjuaji, hata ukibwaja na kulia hapa kama unavyofanya haisaidii chochote!
 
NINAOMBA UONGOZI WA JAMAII FORUM UNIPOSTIE HILI WAZO LANGU KWENYE PAGE YA INSTAGRAM.

NIMESIKITIKA KUONA WAMILIKI WA JENGO LA GHOROFA LILILO POROMOKA KARIAKOO WAKIKAMATWA.

BILA KUWAONA.
1. MANISPAA WALIOTOA VIBALI VYA UJENZI.

2. MKANDARASI WA JENGO NA MAFUNDI WAKE.

3. MUHANDISI WA MANISPAA NA WAKAGUZI WA ILALA WOTE WANA KESI.

NAOMBA KUWASILISHA.
 
Ndivyo watawala wa chama tawala wanavyoendesha nchi hii. Makosa yanayofanywa na watu wao huwa kila jitihada itafanywa kuyafunika. Na hawaoni aibu juu ya hili, huwa wanasema waziwazi ukiwa mtu wao watakulinda. Kwa maneno mengine kuwa mtu wao kunakufanya uwe juu ya sheria.

Na kibaya zaidi, Polisi wanajua hilo, kwamba wakitaka kazi zao ziwe salama, basi waelewe kwamba watu wa chama tawala wako juu ya sheria. Hata wakiua, wakibaka, wakisafirisha wageni haramu, wakikutwa na madawa ya kulevya au nyara za serikali, wakifanya maandamano bila kibali, wakifanya lolote lile, hawapaswi kubugudhiwa.

Na Polisi wameambiwa tukio la kihalifu linapofanywa na mtu wa chama tawala basi watalitolea maelezo ambayo hayatakichafua chama tawala, hata kama inabidi waseme uongo. Kifo cha risasi au kupigwa kitabadilika kuwa kifo cha shinikizo la damu, nk.

Ndio maana basi, japo maneno makali kuhusu mmiliki wa jengo la Kariakoo yaliyotolewa na waziri mkuu, polisi walipowaambia watawala mmiliki wa jengo ni mmoja wenu katika chama, waliamriwa wakae kimya hadi uchaguzi wa serikali za mitaa upite. Jitihada hata zilifanyika kujaribu kubadilisha jina la mmiliki, na huenda zimefanikiwa tayari.

Hii ndio Tanzania yetu. Au Tanzania yao?
Msije mkampiga
 
HATUTEMEI KURA ZA WALALA HOI SISI.
AJULIKANE AU HASIJULIKANE KABLA YA UCHAGUZI SIS TUNASHIDA KWA ASILIMIA 99.999999999999% 😀
 
Ndivyo watawala wa chama tawala wanavyoendesha nchi hii. Makosa yanayofanywa na watu wao huwa kila jitihada itafanywa kuyafunika. Na hawaoni aibu juu ya hili, huwa wanasema waziwazi ukiwa mtu wao watakulinda. Kwa maneno mengine kuwa mtu wao kunakufanya uwe juu ya sheria.

Na kibaya zaidi, Polisi wanajua hilo, kwamba wakitaka kazi zao ziwe salama, basi waelewe kwamba watu wa chama tawala wako juu ya sheria. Hata wakiua, wakibaka, wakisafirisha wageni haramu, wakikutwa na madawa ya kulevya au nyara za serikali, wakifanya maandamano bila kibali, wakifanya lolote lile, hawapaswi kubugudhiwa.

Na Polisi wameambiwa tukio la kihalifu linapofanywa na mtu wa chama tawala basi watalitolea maelezo ambayo hayatakichafua chama tawala, hata kama inabidi waseme uongo. Kifo cha risasi au kupigwa kitabadilika kuwa kifo cha shinikizo la damu, nk.

Ndio maana basi, japo maneno makali kuhusu mmiliki wa jengo la Kariakoo yaliyotolewa na waziri mkuu, polisi walipowaambia watawala mmiliki wa jengo ni mmoja wenu katika chama, waliamriwa wakae kimya hadi uchaguzi wa serikali za mitaa upite. Jitihada hata zilifanyika kujaribu kubadilisha jina la mmiliki, na huenda zimefanikiwa tayari.

Hii ndio Tanzania yetu. Au Tanzania yao?
Siku vyombo vya usalama vikiweza kuchora mstari kati ya chama na serikali apo mwanga unaweza onekana
 
Ndivyo watawala wa chama tawala wanavyoendesha nchi hii. Makosa yanayofanywa na watu wao huwa kila jitihada itafanywa kuyafunika. Na hawaoni aibu juu ya hili, huwa wanasema waziwazi ukiwa mtu wao watakulinda. Kwa maneno mengine kuwa mtu wao kunakufanya uwe juu ya sheria.

Na kibaya zaidi, Polisi wanajua hilo, kwamba wakitaka kazi zao ziwe salama, basi waelewe kwamba watu wa chama tawala wako juu ya sheria. Hata wakiua, wakibaka, wakisafirisha wageni haramu, wakikutwa na madawa ya kulevya au nyara za serikali, wakifanya maandamano bila kibali, wakifanya lolote lile, hawapaswi kubugudhiwa.

Na Polisi wameambiwa tukio la kihalifu linapofanywa na mtu wa chama tawala basi watalitolea maelezo ambayo hayatakichafua chama tawala, hata kama inabidi waseme uongo. Kifo cha risasi au kupigwa kitabadilika kuwa kifo cha shinikizo la damu, nk.

Ndio maana basi, japo maneno makali kuhusu mmiliki wa jengo la Kariakoo yaliyotolewa na waziri mkuu, polisi walipowaambia watawala mmiliki wa jengo ni mmoja wenu katika chama, waliamriwa wakae kimya hadi uchaguzi wa serikali za mitaa upite. Jitihada hata zilifanyika kujaribu kubadilisha jina la mmiliki, na huenda zimefanikiwa tayari.

Hii ndio Tanzania yetu. Au Tanzania yao?
Unamjua?

Ni nani huyo?

Kama wao hamtaji, sisi tumtaje ili wapate taabu ya kujitetea na kutengeneza uongo zaidi...

Njia ya mwongo ni kumuwahi mbele ya uongo wake ni kumsiliba na kinyesi cha uongo wake mwenyewe...

Ma CCM ni maongo, matapeli, mauaji na wezi wa aina zote za wizi duniani..!
 
Huna chochote unachojua kuhusu mmililik wa hilo jengo, zaidi ni habari za mtaani huko hata kama kweli mmiliki ni mwanachama wa chama tawala kwani ni dhambi?
Kiufupi umeandika nadharia eti umiliki unabadilishwa! Ungekuwa unajua mmiliki halali ambaye anafanya hizo jotihada za kubadili umiliki ungemtaja humu jamvini!!! Ungekuwa unajua taarifa za uhakika ungezianika hapa, huna lolote unalojua!!! Hili ni jukwaa huru ambalo uozo wowote unaweza kuuanika wazi!!!!
Otherwise acha jeshi la polisi na vyombo vinavyofanya uchunguzi vifanye kazi yao!!!!
Wewe "mwenye lolote", mbona ni mbovu zaidi ya huyo unaye msema?
Wewe unacho juwa ni kipi, ili utueleze hapa na tukubaliane na wewe badala ya huyo "asiye juwa lolote"

Huu ubabaishaji ulio enea kila mahali, ndani ya CCM, hivi kweli unadhani watu hawauoni na kuuelewa; kiasi kwamba wewe ndiye uchukue jukumu la kukana ulaghai ulio wazi?
 
Huna chochote unachojua kuhusu mmililik wa hilo jengo, zaidi ni habari za mtaani huko hata kama kweli mmiliki ni mwanachama wa chama tawala kwani ni dhambi?
Tueleze wewe kama "ni dhambi" kwa hiyo CCM na serikali yake kumtaja huyo mtu ni dhambi.
Wao ndio wenye wajibu na jukumu hilo.
Na kama huwezi kueleza hilo, eleza kwa nini ifanywe kuwa siri.
 
Wewe "mwenye lolote", mbona ni mbovu zaidi ya huyo unaye msema?
Wewe unacho juwa ni kipi, ili utueleze hapa na tukubaliane na wewe badala ya huyo "asiye juwa lolote"

Huu ubabaishaji ulio enea kila mahali, ndani ya CCM, hivi kweli unadhani watu hawauoni na kuuelewa; kiasi kwamba wewe ndiye uchukue jukumu la kukana ulaghai ulio wazi?
Nimesema nina lolote wapi sasa kama wewe si kilaza! Akili yako ina shida kubwa!
 
Nimesema nina lolote wapi sasa kama wewe si kilaza! Akili yako ina shida kubwa!
Usinge kuwa na lolote usinge andika hivyo ulivyo andika. Hii tu inaonyesha upungufu mkubwa wa akili ulio nao.
 
Back
Top Bottom