Hesabu ndogo sana; Kwanini Serikali iliwaamuru Polisi wasimtaje mmiliki wa jengo lililoporomoka Kariakoo hadi uchaguzi wa serikali za mitaa uishe

Tueleze wewe kama "ni dhambi" kwa hiyo CCM na serikali yake kumtaja huyo mtu ni dhambi.
Wao ndio wenye wajibu na jukumu hilo.
Na kama huwezi kueleza hilo, eleza kwa nini ifanywe kuwa siri.
Siri gani? Imeshaelezwa uchunguzi ukikamilika taarifa itatolewa, mbona kichwa chako kigumu kuelewa!
Btw wahusika si hawa hapa, ama shida yako ni nini hasa??
 

Attachments

  • IMG_3547.jpeg
    1.1 MB · Views: 2
Siri gani? Imeshaelezwa uchunguzi ukikamilika taarifa itatolewa, mbona kichwa chako kigumu kuelewa!
Btw wahusika si hawa hapa, ama shida yako ni nini hasa??
Nani kakwambia hao ndio wahusika. Unajuwa historia nzima ya jengo hilo?
Wewe unazijuwa siri zote?
 
Nani kakwambia hao ndio wahusika. Unajuwa historia nzima ya jengo hilo?
Wewe unazijuwa siri zote?
Siijui historia, wala hizo siri!!!
Wewe unayeijua hiyo historia na siri zake zianike hapa basi!!!
Na kama hao si wamiliki hebu waseme wamiliki ni akina nani basi!!!
 
Ccm wahuni
 
Imenilazimu nirudi nyuma kutazama uliko anzia hadi hapa ulipo fikia sasa. Kuna sehemu unazungumzia "wapangaji, mafundi" kumjua mmiliki. Hii ni wazi inaonyesha hujui kitu kuhusu maswala ya umiliki wa majengo.

Unacho elewa wewe ni kuwa, polisi wakisha sema kitu, basi wamemaliza kwa vile wao ni watu wanao sema kweli tupu wakati wote. Sasa mtu wa aina hiyo tutamfanya nini kumbadili mawazo potofu!

Inawezekana sana ukawa ni mmoja wa hao wapindisha ukweli huko ndani ya CCM na serikalini. Kazi kubwa kwenu ni kupindisha tu na kufanya madudu kila mahali.
Serikali ya Samia imejipambanua kuwa ni serikali yenye kufanya maswala ya waTanzania gizani, kuficha ukweli, kila mahali. Na hii ni kwa sababu za ufisadi mwingi unao fanyika humo humo serikalini.
Sasa utakuja hapa unilazimishe nikupe ushahidi; wakati unajuwa mambo yenu ni ya gizani!
 
Siijui historia, wala hizo siri!!!
Wewe unayeijua hiyo historia na siri zake zianike hapa basi!!!
Na kama hao si wamiliki hebu waseme wamiliki ni akina nani basi!!!
Mkuu 'Freyzem', ni hivi: Ni kazi bure mimi na wewe kubaki humu tukizungushana kuhusu "kujuwa au kutojuwa" mambo mengi yanayo fanyika huko serikalini; ambayo ina lazimu kuwa siri kila jambo.

Ni wajibu wa serikali yoyote ile yenye kuwatumikia wananchi wake kufanya mambo ya wananchi kwa uwazi na kuaminika. Serikali inapo anza kufanya kila kitu kiwe siri, huo ndio mwanzo wa serikali hiyo kutoaminiwa na wananchi wake.
Hakuna sababu ya kufanya maswala ya wananchi kiujanja ujanja, ulaghai, na uongo mwingi. Hakuna. Matokeo yake ndiyo haya, ya kila jambo kuhojiwa.
Serikali ina wajibika kwa wananchi, na uwazi katika utendaji wake ndio unao fanya wananchi wasiwe na sababu ya kuhoji maamuzi mengi yanayo fanywa kwa niaba yao.
Serikali ya Samia inafanya kinyume kabisa na hayo yote. Inataka wananchi ndio wawajibishwe kwa matendo yake yenyewe. Hiyo siyo serikali inayo watumikia wananchi. Na yote haya yanaanzia ndani ya chama CCM. CCM imekuwa ni balaa kwa Tanzania.
 
Acha ujuha wewe! Tatizo akili yako ni ndogo ndio maaana umeshindwa kuelewa nilichoandika!!
Karudie tena nilichoandika ujitahidi kukielewa!!! Period
 
Acha ujuha wewe! Tatizo akili yako ni ndogo ndio maaana umeshindwa kuelewa nilichoandika!!
Karudie tena nilichoandika ujitahidi kukielewa!!! Period
Mimi nina akili ndogo, kwa mjibu wako, ambaye ni chizi. Ni nani aliye na nafuu hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…