Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Kamanda unatutia aibu sisi makamanda wenzako unapotumia mbinu hizi za propaganda uchwara. Jaribu kufanya mambo kisayansi zaidi.Kamanda mimi ni mtu wa Demokrasia. Kwani wewe unaweza kuniambia tundu Lissu kakukosea nini?
Kisayansi ni kama kufanyaje Mkuu?Kamanda unatutia aibu sisi makamanda wenzako unapotumia mbinu hizi za propaganda uchwara. Jaribu kufanya mambo kisayansi zaidi.
Kama alivyotufundisha Mnyika pale ufipa, umesahau?Kisayansi ni kama kufanyaje Mkuu?
Nifundishe tu kaka! Ya Ufipa siyajui vizuri!Kama alivyotufundisha Mnyika pale ufipa, umesahau?
Kamanda usianze kuweweseka mapema na kukana ufipa kirahisi namna hii.Nifundishe tu kaka! Ya Ufipa siyajui vizuri!
Hamna kitu kama hicho mwaka huu. Watu watapigwa vibaya sana!Hivi unajua ccm inategemea wakurugenzi kutangaza wasio washindi!??? Hivi hujui ndio ccm wanachotegemea!??? Amini nakwambia ccm watatangaza wezao walioshindwa vibaya na mahakama zimewekwa mifukoni
Mwaka huu hawapori nakuambia. Wao ndiyo wanaporwa!Ccm huwa hawashindi bali wanapora kwa gharama yoyote ile, kama ulikuwa ulijui hili basi lijue kuanzia leo
Yes even by blood sheddingCcm huwa hawashindi bali wanapora kwa gharama yoyote ile, kama ulikuwa ulijui hili basi lijue kuanzia leo
Kweli lakini!Bila hivyo unafikiri itakuwaje, kumbuka majimbo kibao tu upinzani wamaekosa watia-nia wenye sifa.... majimbo mengi tu.
Uchaguzi uliopita kuna walioambiwa kuwa kuna barua inatoka Ulaya kwa Wazungu, ICJ kuja kuzuia Rais kuapishwa. Hatari sana kuwekeza hisia zote kwenye hizi siasa zetu za Kiafrika.Ushauri wangu vijana.; vijana msipende kujiaminisha sana halafu, mwisho wa siku mnadai mmeibiwa.
Pointleeeesss!Hizi ni porojo kama sio nmkakati wa kuangamiza haiba ya upinzani. Bunge halina umuhimu wowote nchi hii zaidi ya kuwapa manufaa binafsi wabunge. Rais ndiye mwenye madaraka na maamuzi yote hata kuhusu nani apewe ubunge nani akose. Hivyo, wapinzani kuotea kujaza mamluki itakuwa aina fulani ya ujinga.
Haji na walinzi na akikamatwa ndiyo tunapenda sasa!Yaani we acha tu. Sasa hivi wanadai eti Lissu atakuja na walinzi toka Ulaya ili asikamatwe. Yaani sijui maneno huwa wanayatoa wapi!?
Endelea kuotaUbashiri wangu - mlolongo wa wagombea wa CCM ni lazima utawafikisha kwenye ugomvi na kuna wengine watahama.
Kumbe na wewe ushajiuliza eeh? Nahisi kuna something behind tusubiriHuwa najiuliza, hivi Mkwere ameshindwa kumshawishi BM kutulia ama kuomba radhi akarudi CCM? Na urafiki wote ule waliokuwa nao? Mkwere si alikuwa bingwa wa diplomacy yule? Ameshindwa kumshawishi Membe kweli? Kweli kabisaaa????? Wanapanga nini hawa?
BM anatumia haki yake. Unajua hawa wakubwa akipata hata mtu mmoja tu wa kumpigia kura ya kumkataa huwa wanaumia sana mioyoni mwao. CCM waliona kabisa kama ingetokea kura ya hapana wakati wa kumpitisha JPM angeweza kupata hata presha ndiyo maanahawakutaka kuonesha kuonesha kabisa kama kulikuwa na kura za hapana.Kumbe na wewe ushajiuliza eeh? Nahisi kuna something behind tusubiri
mkuu faida za kuficha id ni nyingi! kutukana viongozi waliokuudhi , kuepuka watu wasiojulikana, kuepuka mkono wa Karl Peters ambae anachukia mno mtandao, kuepuka jela mabuti na virungu! think twice mkuu!!Asante Mkuu. Mimi ni MCCM ambaye demokrasia ikirudi nitabadili ID yangu hapo na kuwa user asiyeficha identity!