antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Kwa hiyo yy Ni Fisadi Papa?!Hao mamluki si magufuli atawanunua tu? Au somo halijaingia bado?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo yy Ni Fisadi Papa?!Hao mamluki si magufuli atawanunua tu? Au somo halijaingia bado?
Ni kweli kabisa, ila naskia jasusi mbobezi ana dawa ya hiliHivi unajua ccm inategemea wakurugenzi kutangaza wasio washindi!??? Hivi hujui ndio ccm wanachotegemea!??? Amini nakwambia ccm watatangaza wezao walioshindwa vibaya na mahakama zimewekwa mifukoni
Haupo makini mzee baba,wakati hata mbowe mwenyewe bunge lijalo mtihani[emoji23][emoji23],mmeshindwa kushughulikia tume huru halafu mnategemea wabunge wa upinzani35% washinde?... tulia atamtoa sugu pale mbeya mjini[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119],system ....Mwaka huu hawapori nakuambia. Wao ndiyo wanaporwa!
Teh teh teh.. are you serious? Kwa hiyo Mwaka huu ni zamu ya wezi kuibiwa?Mwaka huu hawapori nakuambia. Wao ndiyo wanaporwa!
Thubutu!Mark my words; LAZIMA AKAMATWE!!!
Watia nia upinzani wamepungua kwa sababu ya rais Magufuli kuongoza nchi kidikteta.Bila hivyo unafikiri itakuwaje, kumbuka majimbo kibao tu upinzani wamaekosa watia-nia wenye sifa.... majimbo mengi tu.
Ushauri wangu vijana.; vijana msipende kujiaminisha sana halafu, mwisho wa siku mnadai mmeibiwa.
Katika fomu ya kiapo Kihiyo alidai kuwa alikuwa amehitimu elimu ya kidato cha nne kwenye shule fulani. Alikuwa mgombea jimbo la Temeke. Akashinda, akatangazwa mbunge. Akaingia bungeni.Kesi ya Kihiyo na vyeti hapo sijaelewa ilikuwaje?
Nachojua tu mtu akiwa kilaza wanasema ni 'Kihiyo'
Chadema imejaa hakuna nafasi,,hakuna Jimbo au kata ambayo iko waziNaunga mkono hoja ,CCM wakivurugana huko wakija CHADEMA na ACT wachukuliwe tu lengo ni kuongeza mtaji....Hata Maalim alikuwa CCM , Lema mwenyewe alikuwa TLP kwahiyo tusiwanyanyapae wakija kuongeza nguvu!! Iron Lady Bulaya katoka CCM lakini ana msimamo KONKI.
Eti?