Fuso ina ton 10 lakini kutokana na manuva iliyofanyiwa inaweza kubeba hadi ton 18. Nataka nimkabidhi dereva awe ananipa hesabu ya mwezi. Matengenezo na service ndogo ndogo ni juu yake. Je nimwambia anipe shs ngapi kwa mwezi? Maximin na minimum. Kwa anayejua tafadhali