Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kiashiria gani kinaonyesha hesabu zake haziko vizuri au kampuni inapumulia mashine??Kuna tetesi kwamba kampuni hii "inapumulia" Machine, hesabu zake haziko vizuri tangu aondoke mkaburu. Ukweli umekaaje mlio ndani/jikoni?
Konyagi ikipungua watu watahamia zaidi kwenye visungura na K-Vant.Ife tupunguze walevi mitaani
labda wameamua iwe depot hapa Tz badala ya kuwa na kiwandaKuna tetesi kwamba kampuni hii "inapumulia" Machine, hesabu zake haziko vizuri tangu aondoke mkaburu. Ukweli umekaaje mlio ndani/jikoni?
Sasa bila mzungu kuna nini Mwafrika anaweza,😄? Ilikuwa hivyo kabla ya mkaburu na itakuwa hivyo baada ya mkaburuKuna tetesi kwamba kampuni hii "inapumulia" Machine, hesabu zake haziko vizuri tangu aondoke mkaburu. Ukweli umekaaje mlio ndani/jikoni?
Kuna tetesi kwamba kampuni hii "inapumulia" Machine, hesabu zake haziko vizuri tangu aondoke mkaburu. Ukweli umekaaje mlio ndani/jikoni?
Kumbuka watu watajinyoga snIfe tupunguze walevi mitaani. Mambo ya kodi na ajira za watu yatafuta baadae.
Breweries ndiyo walikuwa wakiongoza kwa mapato miaka ya 'zamani' kabla makampuni ya simu za mkononi hayajaanza wakifuatiwa na TCC then akaja Mkaburu na hapo kwa kuwa nilishakuwa ukimbizini I can't tell what really transpired lakini itakuwa ni kitu cha kushangaza Kaburu aondoke na kiwanda kielekee kufa.Kuna tetesi kwamba kampuni hii "inapumulia" Machine, hesabu zake haziko vizuri tangu aondoke mkaburu. Ukweli umekaaje mlio ndani/jikoni?
Mhhh TBL ifirisike? Source yako ni chaka.Kuna tetesi kwamba kampuni hii "inapumulia" Machine, hesabu zake haziko vizuri tangu aondoke mkaburu. Ukweli umekaaje mlio ndani/jikoni?