Hesabu za mmiliki wa SFG ni kali sana, wengi hamzioni ila mtaziona msimu ujao 2024/2025 kupitia IHEFU (Singida Black Stars)

Hesabu za mmiliki wa SFG ni kali sana, wengi hamzioni ila mtaziona msimu ujao 2024/2025 kupitia IHEFU (Singida Black Stars)

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Hakuna jambo gumu kama kuendesha timu ya mpira na kuifanya ikupe mafanikio ya haraka,

Unaweza kuwa na pesa yakutosha ila ukajikuta unaambulia patupu.
Pesa peke yake hazitoshi bali akili nyingi pia inahitajika bila kuvunja sheria.

Nimeanzisha huu uzi baada ya comment ya mdau mmoja kwenye uzi fulani.

Duke Abuye
Marouf Tchakei
Elvis Rupia....Harambee stars
Benjamin Tamim ..Super Eagle
Amadou Amande....The Mambaz
Maurice Chuku ....Nigeria
Josh Onyango....Kenya
Mohamed Khomen...Mali

Kifupi Ihefu wako na timu
Mmiliki wa SFG ni mjanja sana sema watu wengi huwa hawafuatilii soka nje ya simba na Yanga

Hivi Simba inazidiwaje na timu ndogo kutafuta wachezaji?

Ipo hivi,

Alisajili wachezaji 30 singida FG, usajili huwa ni pata potea,

Katika hao wachezaji 30 ni wachezaji nane tu ndio waliotiki wanaojua mpira haswa na kukiwasha ipasavyo wengine wote wakaonekana magarasa, wote 30 wanalipwa pesa ndefu, ukivunja mkataba utawalipa zaidi.

Jamaa akainunua Ihefu kwa bei chee iliyokuwa inataka kushuka daraja ambapo hakuna mtu mwenye akili timamu angeinunua. Kisha wale wachezaji nane akawatoa kwa mkopo kutoka SFG kwenda IHEFU,
magarasa wote akawaacha SFG.

IIi baadae timu iuzwe kisha hao magarasa hata wakienda kushtaki FIFA hawampati, itafungiwa SFG na sio IHEFU, na mmiliki wa ihefu ni MKULIMA WA MPUNGA. Hapo FIFA wataifungia SFG na sio IHEFU.

Kisha msimu unaofuata wa 2024/2025 ataongezea wachezaji wazuri kadhaa na kisha moto utawaka haswaa.
atapata mafanikio makubwa ndani ya muda mfupi kwa sababu anajifunza, na ameishajua namna ya kujijenga.

Hata kocha aliyepo Ihefu ni kocha mzuri, na hio ndio sababu wengi mnaona IHEFU inacheza bora zaidi.
.........................................

UPDATES

Kocha uchebe atua SBS

Pia
Wadau wa Soka

Napenda kuwataarifu kuwa nimekabidhiwa jukumu zito la kuwa Msemaji wa Klabu ya Singida Black Stars yenye maono makubwa na kuongoza Idara nyeti ya Habari na Mawasiliano.

Nami nipo tayari kuisemea na kuitetea kwa weledi na maarifa yangu yote.. Eeh Mwenyeezi Mungu nisaidie 🙏🏾

View attachment 3014262
 
Hakuna jambo gumu kama kuendesha timu ya mpira na kuifanya ikupe mafanikio ya haraka,

Unaweza kuwa na pesa yakutosha ila ukajikuta unaambulia patupu.
Pesa peke yake hazitoshi bali akili nyingi pia inahitajika bila kuvunja sheria.

Nimeanzisha huu uzi baada ya comment ya mdau mmoja kwenye uzi fulani.


Mmiliki wa SFG ni mjanja sana sema watu wengi huwa hawafuatilii soka nje ya simba na Yanga



Ipo hivi,

Alisajili wachezaji 30 singida FG, usajili huwa ni pata potea,

Katika hao wachezaji 30 ni wachezaji nane tu ndio waliotiki wanaojua mpira haswa na kukiwasha ipasavyo wengine wote wakaonekana magarasa, wote 30 wanalipwa pesa ndefu, ukivunja mkataba utawalipa zaidi.

Jamaa akainunua Ihefu kwa bei chee iliyokuwa inataka kushuka daraja ambapo hakuna mtu mwenye akili timamu angeinunua. Kisha wale wachezaji nane akawatoa kwa mkopo kutoka SFG kwenda IHEFU,
magarasa wote akawaacha SFG.

IIi baadae timu iuzwe kisha hao magarasa hata wakienda kushtaki FIFA hawampati, itafungiwa SFG na sio IHEFU, na mmiliki wa ihefu ni MKULIMA WA MPUNGA. Hapo FIFA wataifungia SFG na sio IHEFU.

Kisha msimu unaofuata wa 2024/2025 ataongezea wachezaji wazuri kadhaa na kisha moto utawaka haswaa.
atapata mafanikio makubwa ndani ya muda mfupi kwa sababu anajifunza, na ameishajua namna ya kujijenga.

Hata kocha aliyepo Ihefu ni kocha mzuri, na hio ndio sababu wengi mnaona IHEFU inacheza bora zaidi.
Hahahahaha...kwanza nimekuelewa vzr mno ktik kunielimisha hii ..pili nimekubali jamaa alitumia ujanja sana ktk hilo...ahsante sana mkuu kwa hii info
 
Sema tu ninaungana na baadhi ya wadau wanaohisi kuna utakatishaji wa fedha unaofanywa na mmiliki wa hiyo timu.
Maana enzi hizo alipoondolewa tu kwenye nafasi ya Uwaziri, na timu yake ya wakati huo ilijifia kifo cha mende.


Siamini kama ni rahisi kiasi hicho kwa timu ya kawaida tu kama Ihefu/Singida Fountain Gate kusajili maproo wa kutosha tu kutoka nje, kwa kuwategemea wadhamini wa kuunga unga.

By the way, huu ni mtazamo wangu tu. Hivyo natoa tahadhari mapema kwa wale watoto wa miaka ya 2000.
 
Sema tu ninaungana na baadhi ya wadau wanaohisi kuna utakatishaji wa fedha unaofanywa na mmiliki wa hiyo timu.
Maana enzi hizo alipoondolewa tu kwenye nafasi ya Uwaziri, na timu yake ya wakati huo ilijifia kifo cha mende.


Siamini kama ni rahisi kiasi hicho kwa timu ya kawaida tu kama Ihefu/Singida Fountain Gate kusajili maproo wa kutosha tu kutoka nje, kwa kuwategemea wadhamini wa kuunga unga.

By the way, huu ni mtazamo wangu tu. Hivyo natoa tahadhari mapema kwa wale watoto wa miaka ya 2000.
Na mapro wenyewe wa ukweli toka timu za ukweli
 
Hakuna jambo gumu kama kuendesha timu ya mpira na kuifanya ikupe mafanikio ya haraka,

Unaweza kuwa na pesa yakutosha ila ukajikuta unaambulia patupu.
Pesa peke yake hazitoshi bali akili nyingi pia inahitajika bila kuvunja sheria.

Nimeanzisha huu uzi baada ya comment ya mdau mmoja kwenye uzi fulani.


Mmiliki wa SFG ni mjanja sana sema watu wengi huwa hawafuatilii soka nje ya simba na Yanga



Ipo hivi,

Alisajili wachezaji 30 singida FG, usajili huwa ni pata potea,

Katika hao wachezaji 30 ni wachezaji nane tu ndio waliotiki wanaojua mpira haswa na kukiwasha ipasavyo wengine wote wakaonekana magarasa, wote 30 wanalipwa pesa ndefu, ukivunja mkataba utawalipa zaidi.

Jamaa akainunua Ihefu kwa bei chee iliyokuwa inataka kushuka daraja ambapo hakuna mtu mwenye akili timamu angeinunua. Kisha wale wachezaji nane akawatoa kwa mkopo kutoka SFG kwenda IHEFU,
magarasa wote akawaacha SFG.

IIi baadae timu iuzwe kisha hao magarasa hata wakienda kushtaki FIFA hawampati, itafungiwa SFG na sio IHEFU, na mmiliki wa ihefu ni MKULIMA WA MPUNGA. Hapo FIFA wataifungia SFG na sio IHEFU.

Kisha msimu unaofuata wa 2024/2025 ataongezea wachezaji wazuri kadhaa na kisha moto utawaka haswaa.
atapata mafanikio makubwa ndani ya muda mfupi kwa sababu anajifunza, na ameishajua namna ya kujijenga.

Hata kocha aliyepo Ihefu ni kocha mzuri, na hio ndio sababu wengi mnaona IHEFU inacheza bora zaidi.
Huo ni mtazamo wako unaheshimiwa lakini kwa bongo hakuna kitu nje ya simba na yanga kama mwekezaji azam anafeli huyo wa ihefu yupo hapo kuzinufaisha simba na yanga!
 
Na mapro wenyewe wa ukweli toka timu za ukweli
Hii kitu inafikirisha sana. Na hapo kuna mchezaji Peter Banda aliyekuwa Simba, eti walimsajili kwa ada ya dola elfu 80 za Kimarekani! Mwanzo walimpa dola elfu 10! Na baada ya kushindwa kuichezea timu hata mechi moja kutokana na majeraha yake, eti wakaachana naye kiholela!

Na sasa dogo ameenda FIFA. Muda si mrefu watalazimika kumlipa mamilioni ya shilingi! Cha kujiuliza sasa, hizo pesa watazitoa wapi? Kama siyo kupitia kodi/tozo zetu ili kuwalipa hao wachezaji?
 
Hii kitu inafikirisha sana. Na hapo kuna mchezaji Peter Banda aliyekuwa Simba, eti walimsajili kwa ada ya dola elfu 80 za Kimarekani! Mwanzo walimpa dola elfu 10! Na baada ya kushindwa kuichezea timu hata mechi moja kutokana na majeraha yake, eti wakaachana naye kiholela!

Na sasa dogo ameenda FIFA. Muda si mrefu watalazimika kumlipa mamilioni ya shilingi! Cha kujiuliza sasa, hizo pesa watazitoa wapi? Kama siyo kupitia kodi/tozo zetu ili kuwalipa hao wachezaji?
Hivi ile sheria ya Football fair finance huku kwetu ipo ?
 
Huo ni mtazamo wako unaheshimiwa lakini kwa bongo hakuna kitu nje ya simba na yanga kama mwekezaji azam anafeli huyo wa ihefu yupo hapo kuzinufaisha simba na yanga!
Azam wanapesa, wana Media, wana Uwanja, wana avademy.

Je wanamafanikio gani?

Hawatumii vizuri akili ktk kuzitumia rasilimali zao ili ziwape mafanikio ya haraka.
Mfano timu ya azam haina mashabiki licha ya kuwa na media kubwa.
Ila ihefu sio ajabu inamashabiki wengi kuliko Azam.

SFG kacheza shirikisho round ya pili tena first leg akipata mabao matatu
Azam kacheza round ya kwanza akatolewa.

Tukisema hawatumii akili kuendesha timu tutakuwa tumekosea?
Sio ajabu wakashindwa kumaliza na nafasi ya pili

Subiri hii ihefu msimu ujao uone moto wake,

Nitakukumbusha
 
Hii kitu inafikirisha sana. Na hapo kuna mchezaji Peter Banda aliyekuwa Simba, eti walimsajili kwa ada ya dola elfu 80 za Kimarekani! Mwanzo walimpa dola elfu 10! Na baada ya kushindwa kuichezea timu hata mechi moja kutokana na majeraha yake, eti wakaachana naye kiholela!

Na sasa dogo ameenda FIFA. Muda si mrefu watalazimika kumlipa mamilioni ya shilingi! Cha kujiuliza sasa, hizo pesa watazitoa wapi? Kama siyo kupitia kodi/tozo zetu ili kuwalipa hao wachezaji?
Ataishitaki SFG na sio IHEFU,
Akishinda kesi itafungiwa SFG kufanya usajili, yeye ataendelea na ihefu
 
Hakuna jambo gumu kama kuendesha timu ya mpira na kuifanya ikupe mafanikio ya haraka,

Unaweza kuwa na pesa yakutosha ila ukajikuta unaambulia patupu.
Pesa peke yake hazitoshi bali akili nyingi pia inahitajika bila kuvunja sheria.

Nimeanzisha huu uzi baada ya comment ya mdau mmoja kwenye uzi fulani.


Mmiliki wa SFG ni mjanja sana sema watu wengi huwa hawafuatilii soka nje ya simba na Yanga



Ipo hivi,

Alisajili wachezaji 30 singida FG, usajili huwa ni pata potea,

Katika hao wachezaji 30 ni wachezaji nane tu ndio waliotiki wanaojua mpira haswa na kukiwasha ipasavyo wengine wote wakaonekana magarasa, wote 30 wanalipwa pesa ndefu, ukivunja mkataba utawalipa zaidi.

Jamaa akainunua Ihefu kwa bei chee iliyokuwa inataka kushuka daraja ambapo hakuna mtu mwenye akili timamu angeinunua. Kisha wale wachezaji nane akawatoa kwa mkopo kutoka SFG kwenda IHEFU,
magarasa wote akawaacha SFG.

IIi baadae timu iuzwe kisha hao magarasa hata wakienda kushtaki FIFA hawampati, itafungiwa SFG na sio IHEFU, na mmiliki wa ihefu ni MKULIMA WA MPUNGA. Hapo FIFA wataifungia SFG na sio IHEFU.

Kisha msimu unaofuata wa 2024/2025 ataongezea wachezaji wazuri kadhaa na kisha moto utawaka haswaa.
atapata mafanikio makubwa ndani ya muda mfupi kwa sababu anajifunza, na ameishajua namna ya kujijenga.

Hata kocha aliyepo Ihefu ni kocha mzuri, na hio ndio sababu wengi mnaona IHEFU inacheza bora zaidi.
Sema huo Moto atamuashia nani sasa?
 
Azam wanapesa, wana Media, wana Uwanja, wana avademy.

Je wanamafanikio gani?

Hawatumii vizuri akili ktk kuzitumia rasilimali zao ili ziwape mafanikio ya haraka.
Mfano timu ya azam haina mashabiki licha ya kuwa na media kubwa.
Ila ihefu sio ajabu inamashabiki wengi kuliko Azam.

SFG kacheza shirikisho round ya pili tena first leg akipata mabao matatu
Azam kacheza round ya kwanza akatolewa.

Tukisema hawatumii akili kuendesha timu tutakuwa tumekosea?
Sio ajabu wakashindwa kumaliza na nafasi ya pili

Subiri hii ihefu msimu ujao uone moto wake,

Nitakukumbusha
Siyo kwa Tanzania chini ya TFF ya Karia na Kidau.

Chini ya uongozi wa hao watu sahau habari za Ihefu au nani kushika hatamu hapa nchini.

The same story kinachoendelea pale Azam Kamwe hutasikia Azam anawaka kuliko Simba.
 
Azam wanapesa, wana Media, wana Uwanja, wana avademy.

Je wanamafanikio gani?

Hawatumii vizuri akili ktk kuzitumia rasilimali zao ili ziwape mafanikio ya haraka.
Mfano timu ya azam haina mashabiki licha ya kuwa na media kubwa.
Ila ihefu sio ajabu inamashabiki wengi kuliko Azam.

SFG kacheza shirikisho round ya pili tena first leg akipata mabao matatu
Azam kacheza round ya kwanza akatolewa.

Tukisema hawatumii akili kuendesha timu tutakuwa tumekosea?
Sio ajabu wakashindwa kumaliza na nafasi ya pili

Subiri hii ihefu msimu ujao uone moto wake,

Nitakukumbusha
Huyo mmiliki wa ihefu alishamiliki timu kadhaa huko nyuma na tunajua malengo ni kuharibu mpira hapo anaweka kama kituo cha kutunzia wachezaji wa timu fulani si mtu mzuri kwa afya ya mpira wa bongo na wala hana hizo akili ulizozifikiria wewe na yupo tofauti na malengo uliyo nayo unayofikiri anayo!
 
Huyo mmiliki wa ihefu alishamiliki timu kadhaa huko nyuma na tunajua malengo ni kuharibu mpira hapo anaweka kama kituo cha kutunzia wachezaji wa timu fulani si mtu mzuri kwa afya ya mpira wa bongo na wala hana hizo akili ulizozifikiria wewe na yupo tofauti na malengo uliyo nayo unayofikiri anayo!
Anajifunzq mkuu,

Ndio maana nikaandika mwanzoni kuwa kuendesha timu ya mpira sio kazi nyepesi hata uwe na pesa koasi gani,

Eng Hersi alianzia maji maji FC akajifunza ndio akaja YANGA,
Hakuingia kichwa kichwa.

MO mwenyewe alianza na SPORTS LYON, ikamfia akaja SIMBA.

Mmiliki wa kiwanda cha JAMBO shinyanga na STAND UNITED, leo hii ipo wapi?

Kwa maoni yangu SFG mmiliki wake amejifunza yupo kwenye hatua nzuri,
Iangalie IHEFU inavyopoga mpira mwingi.

Kitayosce nayeye alisajili magarasa na anakaribia kushuka daraja.
Na atapotea mazima.

Ila kuna mnyakyusa anaitwa keneth mwenye KENGOLD yule anamalengo tusubiri msimu ujao

Timu mpya zinapata uhai kwa mgongo wa manispaa
 
Hakuna jambo gumu kama kuendesha timu ya mpira na kuifanya ikupe mafanikio ya haraka,

Unaweza kuwa na pesa yakutosha ila ukajikuta unaambulia patupu.
Pesa peke yake hazitoshi bali akili nyingi pia inahitajika bila kuvunja sheria.

Nimeanzisha huu uzi baada ya comment ya mdau mmoja kwenye uzi fulani.


Mmiliki wa SFG ni mjanja sana sema watu wengi huwa hawafuatilii soka nje ya simba na Yanga



Ipo hivi,

Alisajili wachezaji 30 singida FG, usajili huwa ni pata potea,

Katika hao wachezaji 30 ni wachezaji nane tu ndio waliotiki wanaojua mpira haswa na kukiwasha ipasavyo wengine wote wakaonekana magarasa, wote 30 wanalipwa pesa ndefu, ukivunja mkataba utawalipa zaidi.

Jamaa akainunua Ihefu kwa bei chee iliyokuwa inataka kushuka daraja ambapo hakuna mtu mwenye akili timamu angeinunua. Kisha wale wachezaji nane akawatoa kwa mkopo kutoka SFG kwenda IHEFU,
magarasa wote akawaacha SFG.

IIi baadae timu iuzwe kisha hao magarasa hata wakienda kushtaki FIFA hawampati, itafungiwa SFG na sio IHEFU, na mmiliki wa ihefu ni MKULIMA WA MPUNGA. Hapo FIFA wataifungia SFG na sio IHEFU.

Kisha msimu unaofuata wa 2024/2025 ataongezea wachezaji wazuri kadhaa na kisha moto utawaka haswaa.
atapata mafanikio makubwa ndani ya muda mfupi kwa sababu anajifunza, na ameishajua namna ya kujijenga.

Hata kocha aliyepo Ihefu ni kocha mzuri, na hio ndio sababu wengi mnaona IHEFU inacheza bora zaidi.
Hao wachezaji wazuri wa Ihefu ni wa Mwigulu.

Anawasajili na kuwapeleka popote anapotaka.

Inaonesha Mwigulu ana jicho la mpira.
 
Hakuna jambo gumu kama kuendesha timu ya mpira na kuifanya ikupe mafanikio ya haraka,

Unaweza kuwa na pesa yakutosha ila ukajikuta unaambulia patupu.
Pesa peke yake hazitoshi bali akili nyingi pia inahitajika bila kuvunja sheria.

Nimeanzisha huu uzi baada ya comment ya mdau mmoja kwenye uzi fulani.


Mmiliki wa SFG ni mjanja sana sema watu wengi huwa hawafuatilii soka nje ya simba na Yanga



Ipo hivi,

Alisajili wachezaji 30 singida FG, usajili huwa ni pata potea,

Katika hao wachezaji 30 ni wachezaji nane tu ndio waliotiki wanaojua mpira haswa na kukiwasha ipasavyo wengine wote wakaonekana magarasa, wote 30 wanalipwa pesa ndefu, ukivunja mkataba utawalipa zaidi.

Jamaa akainunua Ihefu kwa bei chee iliyokuwa inataka kushuka daraja ambapo hakuna mtu mwenye akili timamu angeinunua. Kisha wale wachezaji nane akawatoa kwa mkopo kutoka SFG kwenda IHEFU,
magarasa wote akawaacha SFG.

IIi baadae timu iuzwe kisha hao magarasa hata wakienda kushtaki FIFA hawampati, itafungiwa SFG na sio IHEFU, na mmiliki wa ihefu ni MKULIMA WA MPUNGA. Hapo FIFA wataifungia SFG na sio IHEFU.

Kisha msimu unaofuata wa 2024/2025 ataongezea wachezaji wazuri kadhaa na kisha moto utawaka haswaa.
atapata mafanikio makubwa ndani ya muda mfupi kwa sababu anajifunza, na ameishajua namna ya kujijenga.

Hata kocha aliyepo Ihefu ni kocha mzuri, na hio ndio sababu wengi mnaona IHEFU inacheza bora zaidi.
Kwahyo Madelu siku hizi analima mpunga BoT?
 
Hahahahaha...kwanza nimekuelewa vzr mno ktik kunielimisha hii ..pili nimekubali jamaa alitumia ujanja sana ktk hilo...ahsante sana mkuu kwa hii info
Alichokosea ni kwamba kwa Sheria za FIFA, HAIWEZEKANI mtu mmoja akamiliki timu zaidi ya Moja zinazoshiriki ligi moja.
 
Back
Top Bottom