Heshima kwa Brothers mliooa na mnaishi kwa upendo, amani na furaha katika ndoa zenu

Heshima kwa Brothers mliooa na mnaishi kwa upendo, amani na furaha katika ndoa zenu

Ndoa kwa kweli, siyo kuona mrembo na kumkimbilia, inahitaji kuangalia sana tena kwa kina. Mimi ndoa yangu ina miaka 11 ila utadhani tumeoana jana. Sio kwamba hatungombani la, tunagomba yanaisha. Napenda kumwita mke wangu mrembo vipi. Ila nimezoe tu. Naona mambo ni mazuri.
Heshima kwako Mkuu.....Na iendelee kuwa kheri kwa ndoa yako [emoji123]
 
Pambana kijana. Ndoa inahitaji uvumilivu. Kununiana na kutofautiana ni jambo la kawaida. Muhimu tu heshima, kusikilizana, upendo, amani na furaha visitoweke kamwe ndani ya nyumba.
Asante sana Mkuu....nimeichukua hii [emoji120]
 
Tunashukulu mkuu, ila kumbuka dhahabu haiwez kung'ara paspo kuptishwa kweny moto, changamoto zpo kwenye maisha na ili kuwa mkamilifu na imara lazma hayo uyapitie then ndio baraka zikufuate, Chamsingi nikuwa na moyo wa uvumilivu, mwisho wa siku hayo yote hubak kuwa story, na furaha hutawara
Asante sana Mkuu....hii nimeiandika ubongoni na kwenye diary [emoji120]
 
Back
Top Bottom