Sokulu Mkombe
Senior Member
- Oct 31, 2018
- 126
- 167
Habari wakuu, Heshima yenu popote mlipo
Naanza kwa kunukuu
Huwa najiuliza kwa nini Mungu alimuaguza mwanaume kumpenda mkewe huku mke akiagizwa kumheshimu mumewe.
Swali langu niJe?
1. Mwanamke hujifunza kupenda? ( i.e Upendo kwa Mwanamke ni Aquired character? ) au kwa mwanamke upendo upo ndani ya heshima kwa mumuwe? Maana utasikia wanawake wanasema " Kikubwa akupe huduma kumpenda utajifunza"
2. Mwanaume Hana chembe ya upendo ndani yake ndio maana Mungu anamuagiza Kumpenda mkewe? Maana makatazo ya Mungu Hutuepusha na Mengi kama yakifuatwa.
Msaada wenu wakuu kwa wenye uzoefu katika hili
Natanguliza shukrani.
Naanza kwa kunukuu
Wakolosai 3:18-19
"Enyi wake, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana. Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao".Huwa najiuliza kwa nini Mungu alimuaguza mwanaume kumpenda mkewe huku mke akiagizwa kumheshimu mumewe.
Swali langu niJe?
1. Mwanamke hujifunza kupenda? ( i.e Upendo kwa Mwanamke ni Aquired character? ) au kwa mwanamke upendo upo ndani ya heshima kwa mumuwe? Maana utasikia wanawake wanasema " Kikubwa akupe huduma kumpenda utajifunza"
2. Mwanaume Hana chembe ya upendo ndani yake ndio maana Mungu anamuagiza Kumpenda mkewe? Maana makatazo ya Mungu Hutuepusha na Mengi kama yakifuatwa.
Msaada wenu wakuu kwa wenye uzoefu katika hili
Natanguliza shukrani.