HESLB itaanza kutoa hela baada ya sikukuu ya EID EL FITR

Udsm mambo bwerere, main oyeee, hii inatia faraja kwa wengine ambao hamjapata. Mwaweza kupata ndani ya wiki hii
 
Kuna mtu amewahi kuuliwa pale Rev-square? Au ni namna mpya ya kuhamasisha wanafunzi wauane pale rev square?

Me nachojua rev square wanasimama watu wa fikra tofauti na kama usipokidhi haja ya wengi unazomewa na kushushwa.

 
Kuna mtu amewahi kuuliwa pale Rev-square? Au ni namna mpya ya kuhamasisha wanafunzi wauane pale rev square?

Me nachojua rev square wanasimama watu wa fikra tofauti na kama usipokidhi haja ya wengi unazomewa na kushushwa.

Pale huwa hapana chezea, lazima ufuate matakwa ya wanafunzi ukiwa kinyume unaweza zonewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…