Pung'o boy
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 685
- 305
Me nipo hapa ofisini kwao yani jamaa wanatoa majibu marahisi kweli. Eti wanasema kukosa mkopo ni kawaida tu.afu wanasema wao na tcu hawana uhusiano na zile priority course za kwenye guide book, tcu ndo wamewaingiza mkenge eti wao hawazitambui