HESLB mnataka tufe kwa pressure?

Au wanatukimbia? Umetoka Mkoani hapo unakumbuka wakati upo UD walikua Mwenge unafika unaambiwa wapo Kigamboni..
[emoji16][emoji16][emoji16] hawa ni wasumbufu hawalipi kodi mijengo ya watu
 
Kamkopo kalivyokuwa katamu chuoni, siamini kama kangekuja kuwa kachungu hivi
Ahaaaahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]

Wakati nimetua University, mchuchu alinambia kausha usichukue mkopo nitakupa mamishiko ya kutosha (fee + basic needs) aaagh nilimind kinoma wenzangu wanajaza paper za kuomba na nina vigezo ila mbebez ananikata stimu....anyway nikakausha coz alikuwa ana mapesa sana kipindi hicho nikasema acha nipotezee!

Sasa niko kwenye ajira ( serikalini) marafiki zangu wanakatwa mpaka mtu ana depression [emoji22]

Huwa namshukuru Mungu asee kwa kuniepushia na hii dhahama[emoji120]
 
Yaani haumshukuru Mchuchu bali unamshukuru Mungu pekee!!? Women I cant you[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mlifunga ndoa baada ya wewe kumaliza chuo?
 
Ila pesa ya boom ni tamu, siku nimeenda kusign laki tano ya mwisho nilisikitika sana. Ile kadi ya benki sijui hata niliiweka wapi
 
Your welcome.



Kwa niaba ya bro.
 
Boom milioni 8 na point
Ada million 6
Bado vikorokocho vingine
Kibaya zaidi sina ajira, hawa helsb nikikaa vibaya watakuja nitoa figo
Na huku upo tena mkuu ...bora ujitundike tuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
 
Nafikiri Bora watu wakope Bank tu kwa Kweli.
 
Unamshukuru Mungu au unamshukuru mshkaji?
 
Yaani haumshukuru Mchuchu bali unamshukuru Mungu pekee!!? Women I cant you[emoji23][emoji23][emoji23]

Mlifunga ndoa baada ya wewe kumaliza chuo?
Majamaa ya hivyo huwa sio maoaji yanachapa tu yanatembea. Sasa wewe utakaeoa huyo ndio ujiandae jamaa likitaka muda wowote linachakata.
 
Unaweza taman hata mtu ajitokeze atupie bom pale asipone mtu
 
Majamaa ya hivyo huwa sio maoaji yanachapa tu yanatembea. Sasa wewe utakaeoa huyo ndio ujiandae jamaa likitaka muda wowote linachakata.
Ngum kumeza hii ila ndio ukwel huu
 
wazamini wa clouds 360, ndo utacheka sijui wanamshindani gani wa mikopo
Una maana ya wadhamini? Sijaelewa! Kama wanadhamini kipindi chochote itakuwa ni njia ya kupiga fedha hiyo. Ohoo nchi ina magumashi mengi hii!
 
Ngum kumeza hii ila ndio ukwel huu
Hapa watajidai yaliyopita yamepita sirudii matapishi Ila deep inside their four chambers heart hawawezi kumnyima mtu aliyewagharamia for Three/four consecutive solid years kuanzia ada, mavazi chakula hadi pedi.
Damn marriage, ndoa zina changamoto sana. Nitaleta hapa true story
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…