witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Umeanza[emoji848][emoji848]Msasani, Kimweri Avenue, TIRDO Complex.
Upo zako Primary nipo zangu Chuo Kikuu, ila saivi nakumendea unanizingua![emoji2957]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza[emoji848][emoji848]Msasani, Kimweri Avenue, TIRDO Complex.
Upo zako Primary nipo zangu Chuo Kikuu, ila saivi nakumendea unanizingua![emoji2957]
[emoji16][emoji16][emoji16] hawa ni wasumbufu hawalipi kodi mijengo ya watuAu wanatukimbia? Umetoka Mkoani hapo unakumbuka wakati upo UD walikua Mwenge unafika unaambiwa wapo Kigamboni..
Ahaaaahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]Kamkopo kalivyokuwa katamu chuoni, siamini kama kangekuja kuwa kachungu hivi
Yaani haumshukuru Mchuchu bali unamshukuru Mungu pekee!!? Women I cant you[emoji23][emoji23][emoji23]Ahaaaahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Wakati nimetua University, mchuchu alinambia kausha usichukue mkopo nitakupa mamishiko ya kutosha (fee + basic needs) aaagh nilimind kinoma wenzangu wanajaza paper za kuomba na nina vigezo ila mbebez ananikata stimu....anyway nikakausha coz alikuwa ana mapesa sana kipindi hicho nikasema acha nipotezee!
Sasa niko kwenye ajira ( serikalini) marafiki zangu wanakatwa mpaka mtu ana depression [emoji22]
Huwa namshukuru Mungu asee kwa kuniepushia na hii dhahama[emoji120]
Mlifunga ndoa baada ya wewe kumaliza chuo?Ahaaaahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Wakati nimetua University, mchuchu alinambia kausha usichukue mkopo nitakupa mamishiko ya kutosha (fee + basic needs) aaagh nilimind kinoma wenzangu wanajaza paper za kuomba na nina vigezo ila mbebez ananikata stimu....anyway nikakausha coz alikuwa ana mapesa sana kipindi hicho nikasema acha nipotezee!
Sasa niko kwenye ajira ( serikalini) marafiki zangu wanakatwa mpaka mtu ana depression [emoji22]
Huwa namshukuru Mungu asee kwa kuniepushia na hii dhahama[emoji120]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani haumshukuru Mchuchu bali unamshukuru Mungu pekee!!? Women I cant you[emoji23][emoji23][emoji23]
Your welcome.Ahaaaahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Wakati nimetua University, mchuchu alinambia kausha usichukue mkopo nitakupa mamishiko ya kutosha (fee + basic needs) aaagh nilimind kinoma wenzangu wanajaza paper za kuomba na nina vigezo ila mbebez ananikata stimu....anyway nikakausha coz alikuwa ana mapesa sana kipindi hicho nikasema acha nipotezee!
Sasa niko kwenye ajira ( serikalini) marafiki zangu wanakatwa mpaka mtu ana depression [emoji22]
Huwa namshukuru Mungu asee kwa kuniepushia na hii dhahama[emoji120]
Aaah Mungu kwanza wewe, mchuchu badaeYaani haumshukuru Mchuchu bali unamshukuru Mungu pekee!!? Women I cant you[emoji23][emoji23][emoji23]
Na huku upo tena mkuu ...bora ujitundike tuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Boom milioni 8 na point
Ada million 6
Bado vikorokocho vingine
Kibaya zaidi sina ajira, hawa helsb nikikaa vibaya watakuja nitoa figo
Nafikiri Bora watu wakope Bank tu kwa Kweli.Mimi ni mnufaika wa Bodi ya mikopo ya Elimu ya juu (HESLB). Nilianza kulipa deni langu la shilingi milioni 6.5 mwaka wangu wa pili tu baada ya kuajiliwa.
Nililipa deni langu katika kipindi cha miaka nane. Nimeshtushwa na barua niliyoandikiwa ofisini kwamba nina deni HESLB.
Nimemaliza deni langu na huu ni mwaka wa pili sasa. Naomba kujua Bodi ya mikopo hili deni wamelitoa wapi wakati katika salary slip zangu zinaonyesha ushahidi wa kukatwa pesa kuanzia mara ya kwanza mpaka nalimaliza miaka miwili imepita sasa.
Hivi kwa mshahara kweli ( take home) nitaweza kuendesha Maisha au ndio utakuwa mwanzo wa depression na hata kupoteza Maisha? SERIKALI NAOMBA MULIANGALIE HILI NAJUA SIO KWANGU HATA KWA WENGINE WAMEKUTANA NALO. SISI NI WANYONGE .
View attachment 1766800
Unamshukuru Mungu au unamshukuru mshkaji?Ahaaaahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Wakati nimetua University, mchuchu alinambia kausha usichukue mkopo nitakupa mamishiko ya kutosha (fee + basic needs) aaagh nilimind kinoma wenzangu wanajaza paper za kuomba na nina vigezo ila mbebez ananikata stimu....anyway nikakausha coz alikuwa ana mapesa sana kipindi hicho nikasema acha nipotezee!
Sasa niko kwenye ajira ( serikalini) marafiki zangu wanakatwa mpaka mtu ana depression [emoji22]
Huwa namshukuru Mungu asee kwa kuniepushia na hii dhahama[emoji120]
Yaani haumshukuru Mchuchu bali unamshukuru Mungu pekee!!? Women I cant you[emoji23][emoji23][emoji23]
Majamaa ya hivyo huwa sio maoaji yanachapa tu yanatembea. Sasa wewe utakaeoa huyo ndio ujiandae jamaa likitaka muda wowote linachakata.Mlifunga ndoa baada ya wewe kumaliza chuo?
Unaweza taman hata mtu ajitokeze atupie bom pale asipone mtuHii Tanzania hii,
Kila nikiangalia pale bungeni huwa naona mataka taka tu.
Kuna majitu pale yanajua kuvaa tai lakini hayajui hata Yapo kwa ajili gani na ya Nani, Sheria nyingi za hovyo hovyo huwa zinapitishwa kwa [emoji817] Kama hii. Kama Kuna mzigo unalifukarisha taifa Hili ni Hilo zimwi la kuitwa bunge.
Ngum kumeza hii ila ndio ukwel huuMajamaa ya hivyo huwa sio maoaji yanachapa tu yanatembea. Sasa wewe utakaeoa huyo ndio ujiandae jamaa likitaka muda wowote linachakata.
Una maana ya wadhamini? Sijaelewa! Kama wanadhamini kipindi chochote itakuwa ni njia ya kupiga fedha hiyo. Ohoo nchi ina magumashi mengi hii!wazamini wa clouds 360, ndo utacheka sijui wanamshindani gani wa mikopo
Hapa watajidai yaliyopita yamepita sirudii matapishi Ila deep inside their four chambers heart hawawezi kumnyima mtu aliyewagharamia for Three/four consecutive solid years kuanzia ada, mavazi chakula hadi pedi.Ngum kumeza hii ila ndio ukwel huu