Jerry de Marco
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 213
- 41
naunga mkono wadau haiwezekan watu wakose haki zao za msingi,kesho lazima kieleweke zaid tuendelee kupeana updstes wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MUNGU awatangulie. Nina hakika mtarudi mnatabasamu. Zingatien nidhamu. Hoja.mtapata tu. Msikubali kugawanywa.Ni matumaini yangu sote tumeamka salama na tu wazima kabisa,na amani iwe juu yenu nyote.
Tafadhali sana alisema ndugu matiku kwenye bandiko hili ya kuwa watu wakutane pale posta za zamani kupanga michakato ya kuelekea wizarana,
Amkeni kumekucha ndugu zangu.
Ni matumaini yangu sote tumeamka salama na tu wazima kabisa,na amani iwe juu yenu nyote.
Tafadhali sana alisema ndugu matiku kwenye bandiko hili ya kuwa watu wakutane pale posta za zamani kupanga michakato ya kuelekea wizarana,
Amkeni kumekucha ndugu zangu.
Mkubwa sasa sie wa mbali mtatuwakilishaje?au tuandike index no. Zetu?
baghozed na mimi niko mbali lakini hakijaharibika kitu ni katika kuwahamasisha walioko dar na mikoa jirani,kufika pale na tayari nimeshawasiliana na wadau wengi tu wa dar,hivyo watakuwepo pale.
cc to matiku,mksyeli,yasin na wengine.
Tuko pamoja sana.
jamani eeeh iv 2naanzia wapi lakn jana 2lixema 2naanzia heslb pale ofice zao au me ndo naenda pale mwenge kama vp 2jumuike wandugu
Sasa ndugu kama kuna utaratibu wa kuandika namba Tafadhali usitusahau tulio mbali S0112.0021.2004
Hata mimi jaman
Mohamed dou
S1139.0030.2005
kila la heri wadau tupo pamoja.