HESLB wachelesha pesa za kijikimu, Wanafunzi wahaha

HESLB wachelesha pesa za kijikimu, Wanafunzi wahaha

Zekoddo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
1,859
Reaction score
4,539
Hiki ndicho kinachotokea Vyuo tofautitofauti hapa nchini hususani Chuo Kikuu Cha Kilimo SOKOINE.
Ikumbuke kuwa Takribani wiki tatu zimepita tangu wanafunzi wamemaliza semista ya kwanza ndani ya mwaka wa masomo 2022/2023 na wanafunzi wamerudi likizo fupi toka Ijumaa ya tarehe 03 March 2023, Ila cha kushangaza hadi leo hii wanafunzi hawajapokea meseji za pesa zao na hata hawajasaini pesa hizo.

Ikumbuke pia wanafunzi wengi kuanzia mwaka wa pili hadi wa 3 wanahitajika kwenda Field Practical Training toka tar 06 March katika Mikoa tofautitofauti hapa Tanzania, Ila mpaka muda huu ninavyotype hapa wanafunzi kutoka chuo hicho(SUA) hawajaondoka kwenye vituo vyao vya field na wiki inakatika namna hii.

Kwa mujibu wa Mwanafunzi wa mwaka wa tatu kutoka chuo hicho jina kapuni alisema kuwa "Baada ya kumaliza mitihani yetu ya semista tuliambiwa tusiondoke ili tusubiri pesa za kijikimu(boom) ambazo zitatumwa kabla ya tar 06 March 2023 Kisha tuondoke tuende vituoni Ila Cha kushangaza hatuchapata pesa hadi leo hii na tarehe za field zishafika/zishaanza".

Ni ajabu sana na inasikitisha, sijui kwanini bodi ya mikopo wanafanya mambo meusi kama haya hali ya kuwa Almanac(Ratiba) zote za kila chuo wanazo. Field ni sehemu ya masomo/mafunzo ya mwanafunzi Ila kutokana na kisuasua kwao kunawafanya wanafunzi wakeshe mitaani wakizurura na pesa za kijikimu hamna.

HESLB Mnachokifanya ni Hujuma kubw kwa Rais wetu wa JMT ambaye aliongeza pesa nyingi kwa mwaka Husika wa masomo ili ziwasaidie wanafunzi katika harakati za masomo yao, kwanini nyie mnatoa pesa kwa magendo na pasipo kuendana na wakati au muda..?

Wahusika mliangalie hili huko vyuoni Hali ni mbaya sana, Fanyeni hima mupeleke pesa za wanafunzi vyuoni, hizo ni Haki yao.
 
Pesa hazitoshi,,Tunasikilizia kama Simba na Yanga watafunga magoli mangapi kwenYe michezo ya leo na kesho.Anyway Hivi hosteli za Kule Wami Mjini bado zinatumika na SUASO? Multipurpose hall,Newlecture Theatres, Vet na Kule Apopo na Panya zao za majaribio? Anyway kuna mwaka ilivukaga karibia Mwezi Hivi mweee siyo Poa.
 
Hiki ndicho kinachotokea Vyuo tofautitofauti hapa nchini hususani Chuo Kikuu Cha Kilimo SOKOINE.
Ikumbuke kuwa Takribani wiki tatu zimepita tangu wanafunzi wamemaliza semista ya kwanza ndani ya mwaka wa masomo 2022/2023 na wanafunzi wamerudi likizo fupi toka Ijumaa ya tarehe 03 March 2023, Ila cha kushangaza hadi leo hii wanafunzi hawajapokea meseji za pesa zao na hata hawajasaini pesa hizo.

Ikumbuke pia wanafunzi wengi kuanzia mwaka wa pili hadi wa 3 wanahitajika kwenda Field Practical Training toka tar 06 March katika Mikoa tofautitofauti hapa Tanzania, Ila mpaka muda huu ninavyotype hapa wanafunzi kutoka chuo hicho(SUA) hawajaondoka kwenye vituo vyao vya field na wiki inakatika namna hii.

Kwa mujibu wa Mwanafunzi wa mwaka wa tatu kutoka chuo hicho jina kapuni alisema kuwa "Baada ya kumaliza mitihani yetu ya semista tuliambiwa tusiondoke ili tusubiri pesa za kijikimu(boom) ambazo zitatumwa kabla ya tar 06 March 2023 Kisha tuondoke tuende vituoni Ila Cha kushangaza hatuchapata pesa hadi leo hii na tarehe za field zishafika/zishaanza".

Ni ajabu sana na inasikitisha, sijui kwanini bodi ya mikopo wanafanya mambo meusi kama haya hali ya kuwa Almanac(Ratiba) zote za kila chuo wanazo. Field ni sehemu ya masomo/mafunzo ya mwanafunzi Ila kutokana na kisuasua kwao kunawafanya wanafunzi wakeshe mitaani wakizurura na pesa za kijikimu hamna.

HESLB Mnachokifanya ni Hujuma kubw kwa Rais wetu wa JMT ambaye aliongeza pesa nyingi kwa mwaka Husika wa masomo ili ziwasaidie wanafunzi katika harakati za masomo yao, kwanini nyie mnatoa pesa kwa magendo na pasipo kuendana na wakati au muda..?

Wahusika mliangalie hili huko vyuoni Hali ni mbaya sana, Fanyeni hima mupeleke pesa za wanafunzi vyuoni, hizo ni Haki yao.
Tatizo ni chuo sio bodi.
 
Hiki ndicho kinachotokea Vyuo tofautitofauti hapa nchini hususani Chuo Kikuu Cha Kilimo SOKOINE.
Ikumbuke kuwa Takribani wiki tatu zimepita tangu wanafunzi wamemaliza semista ya kwanza ndani ya mwaka wa masomo 2022/2023 na wanafunzi wamerudi likizo fupi toka Ijumaa ya tarehe 03 March 2023, Ila cha kushangaza hadi leo hii wanafunzi hawajapokea meseji za pesa zao na hata hawajasaini pesa hizo.

Ikumbuke pia wanafunzi wengi kuanzia mwaka wa pili hadi wa 3 wanahitajika kwenda Field Practical Training toka tar 06 March katika Mikoa tofautitofauti hapa Tanzania, Ila mpaka muda huu ninavyotype hapa wanafunzi kutoka chuo hicho(SUA) hawajaondoka kwenye vituo vyao vya field na wiki inakatika namna hii.

Kwa mujibu wa Mwanafunzi wa mwaka wa tatu kutoka chuo hicho jina kapuni alisema kuwa "Baada ya kumaliza mitihani yetu ya semista tuliambiwa tusiondoke ili tusubiri pesa za kijikimu(boom) ambazo zitatumwa kabla ya tar 06 March 2023 Kisha tuondoke tuende vituoni Ila Cha kushangaza hatuchapata pesa hadi leo hii na tarehe za field zishafika/zishaanza".

Ni ajabu sana na inasikitisha, sijui kwanini bodi ya mikopo wanafanya mambo meusi kama haya hali ya kuwa Almanac(Ratiba) zote za kila chuo wanazo. Field ni sehemu ya masomo/mafunzo ya mwanafunzi Ila kutokana na kisuasua kwao kunawafanya wanafunzi wakeshe mitaani wakizurura na pesa za kijikimu hamna.

HESLB Mnachokifanya ni Hujuma kubw kwa Rais wetu wa JMT ambaye aliongeza pesa nyingi kwa mwaka Husika wa masomo ili ziwasaidie wanafunzi katika harakati za masomo yao, kwanini nyie mnatoa pesa kwa magendo na pasipo kuendana na wakati au muda..?

Wahusika mliangalie hili huko vyuoni Hali ni mbaya sana, Fanyeni hima mupeleke pesa za wanafunzi vyuoni, hizo ni Haki yao.
Mama yupo humu nadhan na hili aliangalie
 
Mama yupo humu nadhan na hili aliangalie
Mama anatumia ID gani ili nim-tag mambo yanoge.. tuwasaidie hawa vijana wanaoteseka huko vyuoni kwa uvivu au uzandiki wa watu wachache wanamsagia Kunguni Mama wetu
 
Kuweni wavumilivu mambo yatakaa sawa tu

#Proud Suasian
 
Tatizo chuo kinarudi kinyume nyume taratibu za kupeleka wanafunzi uwandani semester ya kwanza vyuo vingi vikubwa washaachaga toka 1992 vimebak vyuo vichache hadi bodi wanaona kero kuvishughulikia
 
Wanawapa wanafunzi mateso makali ,sipati picha walioenda mikoa ya mbali watakuwa na hali gani wakati walikuwa wanategemea fedha ya boom iwasaidie katika field.

Bodi ya mikopo na uongozi wa chuo kwa hili wamefeli vibaya mno.
 
Back
Top Bottom