Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
Bodi ya mikopo wanasema taarifa zote juu ya uombaji mikopo zinapatikana www.heslb.go.tz lakini ukifungua unakuta habari za mwaka jana! Hakuna jipya!?
Je tunaombaje mikopo? Na iyo 30000/= inayotakiwa kulipwa kwa mpesa tunalipia namba gani?
Je tunaombaje mikopo? Na iyo 30000/= inayotakiwa kulipwa kwa mpesa tunalipia namba gani?