HESLB yaja na mpango mpya kwa wasiyorejesha mikopo, waungana na RITA, NIDA na Taasisi za Kibenki kuwatambua kirahisi wadaiwa

Mkuu hii ya account ya ndg niliwahi banwa nilimtumia jina la mdogo nikawa natumia kama kawaida kwenye ATM siku Moja nilkuwa natoa kiasi kikubwa si nikaenda dirishani. Muhudumu kuniangalia akasema subiri kidogo mara police huyu hapa nikapelekwa kwenye chumba fln

Nilitoka maelezo lkn wapi wanasema salama Yako ni huyo mdogo wako aje athibitishe haya na hapo yupo chuo Dar Nami nipo kahama.


Haloo usome mkuu
 
hivi ulikuwa unawaza nini kwenda kutolea pesa ndani wakati akaunti si ya kwako mkuu hapo wewe ndo ulijichanganya.
 
Hapa hakuna namna itabidi kulipa tu. Sema wamefanya mambo yao yamekuwa complicated. Nimetoka kufungua account kwenye system yao kwanza hawakuonyeshi deni lako kamili.
Pili naona mwaka 2010/2011 inaelekea eti malipo yalifanyika saut wakati mimi sijawahi kusoma saut na wala sikuwahi kuchaguliwa saut.
Kisha sijui kwa nini wasitengeneza vitu kuwa rahisi, mtu akaweza kupewa control number kama hajaajiriwa kupitia huo mfumo baada ya kufungua account akawa analipa tu.
 
Kama vip waje wachukue ma vyeti yao πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£mjinga sana ww🀣🀣🀣
 
C uliambatanisha birth certificate πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
labda waingie makubaliano na mitandao ya simu, sasa RITA na NIDA watawala ya wapi hao watu
Watafika kote huko
Unazidi kuwapa mawazo ya kupata wadaiwa wengine.......πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Birth certificate c inakuaga na namba ambayo iko connected na NIDA mkuu????
Mimi birth certicate yangu ni ya zaidi ya miaka 30 iliyopita, enzi hizo haijuiikani hata fingerprint ni kitu gani.., wala NIDA hakuna, na NIDA hawakuomba birth cerificate wakati wa usajili..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…