Hey!! Mko wapi?

Hey!! Mko wapi?

kiwatengu hapa umetega ama?

Umetaja watoto wakali watupu atakae nasa anatosha
 
Last edited by a moderator:
habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa mamaafacebook kapewa ujauzito katika mazingira ya kutatanisha..

mchakato wa familia kumtafuta msababishaji unaendelea...

Hahahaaaa mkuu ngoja aje atupe ukweli kuhusu ili swala......mkuu ile shuhuri ya kupandisha mlima kilimanjaro tayari maana nmeona picha pande zetu zilee
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa mkuu ngoja aje atupe ukweli kuhusu ili swala......mkuu ile shuhuri ya kupandisha mlima kilimanjaro tayari maana nmeona picha pande zetu zilee

pande zetu?
who is this kwani??
plz hebu nifuate hizo pande tuweke mambo sawa...plz
 
tatizo lako wewe huwa unafanya mambo yako hadharani, hapo tu ndiyo nakukubaligi.

Sasa hapo ndio najidhihirisha ni mwanajeshi makini kila kitu ni straight forward kama vita ni vita tu hata ukijificha lengo bado ni kumsaka adui alipo ummalize🙁😀
 
Back
Top Bottom