Acha uchokozi we mdada haya . Why nasema hivyoo unanitag nikiwa sijaandika poa . Ila ipo siku utamjua na mzungumzia babe yupi ila humjui na sio mwandikaji wa mabango mlio mzoea yeye ni msomaji tu .
Ila kiswahili ajui sijui aliiingiaje humu . Sasa jichanganye nikuweke kwenye kiti moto haya shauri yako .
Humu kuna mtu kanote kila mtu na njemba lake limewekwa camera na mita na gprs yaani anasomeka hata aende kuwanga . Mie nipo serious . Wamenikera sana .
Humu nilichambwagwa kisa mtu fulani saivi nami naanza kukusanya matukio kama nikweli nitamchamba hadi basi . Hadi na dira namvalisha