Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Baby wangu yupo USBHadi wewe yupo wapi kwa sasa ili nikukosoe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baby wangu yupo USBHadi wewe yupo wapi kwa sasa ili nikukosoe
Usitufanyie hivyo Da mau?Acha uchokozi we mdada haya . Why nasema hivyoo unanitag nikiwa sijaandika poa . Ila ipo siku utamjua na mzungumzia babe yupi ila humjui na sio mwandikaji wa mabango mlio mzoea yeye ni msomaji tu .
Ila kiswahili ajui sijui aliiingiaje humu . Sasa jichanganye nikuweke kwenye kiti moto haya shauri yako .
Humu kuna mtu kanote kila mtu na njemba lake limewekwa camera na mita na gprs yaani anasomeka hata aende kuwanga . Mie nipo serious . Wamenikera sana .
Humu nilichambwagwa kisa mtu fulani saivi nami naanza kukusanya matukio kama nikweli nitamchamba hadi basi . Hadi na dira namvalisha
Kwenye flash au sio 😀🤣Baby wangu yupo USB
Kwani unahusika au wewe ndio nakutafuta ???Usitufanyie hivyo Da mau?
Wako najua yupo wapi?*Daah Maua unaandika kiswahili kigumu sana,yaani hapo nimeelewa tu bby wako yupo Germany mengine nimetoka kapa
Lazima nikapake majivuJumatano ya majivu
Usinichonganishe na dada yangu 😁Mdogo ako nusu albino Half american, ana tetea ujinga😄😄