Hey my boo listen to this

Zitashuka tuuuu, hapo itasikilizwa ngoma ya Marioo ×80 kisha vijana tutabeba sururu na machepeo huku likipigwa songi la Daz Baba au Jebby.
Nipo hapa nasubiri Mpenzi wangu achwe na mchumba wake ndipo nikamuoe kwa huruma.
 
Nikisoma maandiko yake I can sense loneliness and bitterness,inayomfanya anachukia Kila mwanamke....So Huwa namsamehe tu
Shida Mna mkataa😄😄😄, hukuona andiko!!.
👉Mi hata nguvu ya kutongoza natoa wapi??, Kichwa Kiko mvurugano mode😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…